Mkuu New Force, jameni hizi avatar nyingine!, muwe na huruma japo kidogo, wengine wenzenu tuu dhaifu, hivyo avatar kama hizi ni kutiana tuu majaribuni!, badala ya concenrate na suject matter unajikuta unaishia kukodolea macho avatar huku mawazo yakikupeleka kwengine!.
Hebu wewe jifikiriea avatar kama hii halafu msomaji post ni mtu wa Kanda ya Ziwa!.
Pasco.