Tanzania hakuna upinzani stable ila kuna upinzani maslahi.Kweli Mrema ni wa kumuonya Mbatia kuvuruga upinzani au ni janja yake kwa vile amemchukulia wanachama. nadhani yeye ndiye anaongoza kwa usaliti wa Upinzani nchini!
Kumbe mkuki kwa nguruwe! Kweli Nyani ni nyani!!!!!!!
Hapo ni kondomu iliyotumika na inayogonja kutumika at the end zitatupwa chooniKweli Mrema ni wa kumuonya Mbatia kuvuruga upinzani au ni janja yake kwa vile amemchukulia wanachama. nadhani yeye ndiye anaongoza kwa usaliti wa Upinzani nchini!
Kumbe mkuki kwa nguruwe! Kweli Nyani ni nyani!!!!!!!
Uzuri hawana impact hawafahamiki kwa kizazi kipya labda Moshi pekeeWote mashushushu wabobezi
Kama Freeman!Wote mashushushu wabobezi
Kweli bro?Wote mashushushu wabobezi
Mrema alikuwa afsaa usalama wa taifa katika mkoa fulani wa kanda ya ziwaKweli bro?
Mbowe hajawahi kuwa mtu wa system sema yeye ndio muhanga mkubwaKama Freeman!
Na mbatia? Na mrema kwani bado anafanya hiyo kazi kama ni kweli?Mrema alikuwa afsaa usalama wa taifa katika mkoa fulani wa kanda ya ziwa
Haya bwashee!Mbowe hajawahi kuwa mtu wa system sema yeye ndio muhanga mkubwa
Ninaweza kusema nayeye yumo kwa sababu ya matendo yakeNa mbatia? Na mrema kwani bado anafanya hiyo kazi kama ni kweli?
Huwezi toa jibu kwa hisia, unafeli sana kama jamaa wa Chadema.Ninaweza kusema nayeye yumo kwa sababu ya matendo yake
Kwasababu hicho kitengo hakiweki mambo yake wazi kwa hiyo tunatumia instinct kuwang'amuaHuwezi toa jibu kwa hisia, unafeli sana kama jamaa wa Chadema.