Nyama ya punda inaliwa?

Nyama ya punda inaliwa?

duh! we noma !

Nikikutajia vitoweo nilivyokula huwezi kuamini. Hii kitu wafaransa wanaita Escargot, ni watamu balaa

1000134207.jpg
 
Punda analika sana Singida na Dodoma bila madhara yoyote.

Ukiondoa Wasukuma; tuliobaki tunakula punda, mbwa, kenge, konokono, nyani, panya, simbilisi n.k. kwa sababu kiasili hatukuwa na wanyama wa kutosha tangu zama za mababu zetu.
 
Punda analika sana Singida na Dodoma bila madhara yoyote.

Ukiondoa Wasukuma; tuliobaki tunakula punda, mbwa, kenge, konokono, nyani, panya, simbilisi n.k. kwa sababu kiasili hatukuwa na wanyama wa kutosha tangu zama za mababu zetu.
 
Back
Top Bottom