Ebenezer-255
Member
- Jan 10, 2015
- 45
- 8
Kwa anayeitaja nyamA ya nguruwe tuwasiliane namba 0754431045 kg i tsh 6500 waweza kupata ata kg 300 nawasilisha
Duh buku sita unusu tu? Itanilipa sana hii aiseee, inapatikana wapi?? Ni tamu kama hii??Kwa anayeitaja nyamA ya nguruwe tuwasiliane namba 0754431045 kg i tsh 6500 waweza kupata ata kg 300 nawasilisha
Mkuu kuna nguruwe kosher?Ni kosher ama ya kienyeji
Mkuu kuna nguruwe kosher?
Sawa mkuu.Zile za kwenye Soseji,teh teh teh...
Duh, umenikumbusha nyumbani mkuuDuh buku sita unusu tu? Itanilipa sana hii aiseee, inapatikana wapi?? Ni tamu kama hii?? View attachment 380979
Ina maana wadada wanaotangaza wanauza nguo za kike mitandaoni.ni wadada tu ndo wanaotumia hyo mitandao..?..we kama unaona haikuhusu just mute..Hivi humu Jamii forum wote ni wakristo au mnaleta masihara....

Wanunuaji wa nguo za kike ni wanaume, wanawake wanachagua tu....
Labda wanawake na wanaume wa dar ndo wanahzo tabia...Wanunuaji wa nguo za kike ni wanaume, wanawake wanachagua tu....
acha zarau ww. kwann isipimwe. hyo ni nyama kama nyama zingineHivi hii nyama huwa inapimwa na daktari.