Nyama napenda sna huo kitu kwa mrombo huwa nikifika nawaambiwa kbsa nataka ya kondo mm sitaki mbuzi
Wkt najuwa tu kuwa wengi pale wanalishwa nyma za ndoo pasipo kujuwa wakizani Ni mbuzi
Bas wakiniona wannishobokea wakizani mm nitataka ya mbuz wakt napendekeza ya kondoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.