Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,377
- 271,799
Sasa ni mwendo wa pori kwa pori
Hapo Nyalandu yuko na familia yake!
John, ikitokea kutenda haki, hakuna kitakachobaki CCM! Hata wewe rohoni mwako unaona kuwa Jiwe ni mzigo. Tuna Rais wa ajabu haijawahi tokea!Hapo Nyalandu yuko na familia yake!
Huo ndio ukweli mkuu ni suala la muda tuSijui, labla ni mawazo yangu tu. Lakini naona kama kuna siku Nyalandu atajitoa Chadema au hata kurudi CCM tena kama walivyofanya Lowassa na Masha.
Maisha yanaenda kasi sana. Akirudi chumbani anaanza kulia. Kutoka Waziri Wa Maliasili na Utalii mpaka mtembezi Wa mtaani akinadi fulana za bavicha!
Takukuru waliingia kichwakichwa wakapigwa maboya.
Chadema ni Msingi.Hongera Nyarudi yaani kijiji kwa kijiji kitongoji kwa kitongoji hongera sana
Tunamjadili mtu kwa ayatendayo sasa , hatuna haja ya kupiga ramliSijui, labla ni mawazo yangu tu. Lakini naona kama kuna siku Nyalandu atajitoa Chadema au hata kurudi CCM tena kama walivyofanya Lowassa na Masha.
Huyo ana hasira za mkizi. Kakosa nafasi ya uwaziri. Watu wake wa vitalu vya uwindaji wamepigwa chini. Ndio maana unaona anafanya harakati za hasira na aio za mahaba. Kina lema na kina sugu wenyewe walishaachana na harakati hizo. Kina mnyika wote hata hawatoi matamko. Huyo joto likishuka atapoa na kurudi ccm akisema chadema kila mtu ni kambale.Sijui, labla ni mawazo yangu tu. Lakini naona kama kuna siku Nyalandu atajitoa Chadema au hata kurudi CCM tena kama walivyofanya Lowassa na Masha.
Lazima tuiokoe nchi yetu kutoka kwenye mikono ya washamba na malimbukeni
Hapo Nyalandu yuko na familia yake!