mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,839
Hyo timu yenu kuchukua uefa bado Sana.
Masharobaro wengi
Masharobaro wengi
hajapiga shootRamli chonganishi
Ila mbappe sio mtu kabisa yule
Jidanganye Madrid anaondokaI knew man city would win this match and they did....final madrid vs man city.
Tuwe na akiba ya maneno
Yeah right!Leo ndio ile mechi pendwa imewadia, PSG vs Man City saa 4 usiku.
Kwa nyota, siku na tarehe ya leo vinaibeba sana PSG.
Hivyo PSG leo ataibuka na ushindi tena sio haba na kuwashangaza wengi.
Kwahyo kama wewe ni mzee wa mkeka tembea na PSG uje unishukuru baadae.
nifeReal Madrid UEFA Champions 2021/22!!
Game moja kuchi inakula gb ngapi?
Leo ndio ile mechi pendwa imewadia, PSG vs Man City saa 4 usiku.
Kwa nyota, siku na tarehe ya leo vinaibeba sana PSG.
Hivyo PSG leo ataibuka na ushindi tena sio haba na kuwashangaza wengi.
Kwahyo kama wewe ni mzee wa mkeka tembea na PSG uje unishukuru baadae.