The Sun as a star is the source of all light and heat on the earth....
And God said "let there be light" and there was light......the first day
And God said let there be lights in the vault of the sky to separate the day from
the night, and let them serve as signs to mark sacred times, and days and years...........the forth day
Naomba kama kuna mtu mwenye reference kwa upande wa Qur'an aweke hapa!!
hivi vitabu vya Mungu ni vyakuamini.
CC; FaizaFoxy kahtaan MTAZAMO ladyfurahia
Binadamu ukitaka kujua muujiza wa uumbaji wa Dunia na vyote vilivyomo ndani ya dunia,pamoja na sayari zake zinazozunguka dunia,ni wazi utakuwa unaumiza kichwa chako tu.
Hivi umewahi kujiuliza kitu kimoja tu,inawezekanaje dubwasha kubwa kama dunia,mwenyezi Mungu aliliumba kwa kusema tu,dunia kuwa,na papo hapo dunia ikatokea,na hapo hapo,pamoja na ukubwa wake wote wa dunia na pamoja na kuelea hewani,bila ya kushikiliwa na.kitu chichote
na pamoja na kuwa dunia wakati wote inazunguka,lakini tokea kuumbwa kwake,haijawahi kusogea tokea eneo lake aliloliweka Mungu,hata kwa sentimeta moja!!
Ndiyo maana inanenwa,mwacheni Mungu aitwe Mungu,ikiwa na maana kuwa utukufu na uwezo wa Mungu,hauwezi kuufananisha na kitu chochotw kile!!
Note: nuru ilikuwa ni ya kutenga usiku na mchana ila jua lilikuwa ni kuangaza.hiyo nuru ipo lakini sio angavu kama ya jua.
Blessed be He Who has placed in the heaven big stars, and has placed therein a great lamp (sun), and a moon giving light. Allah, the Almighty, says: [Blessed be He Who has placed in the heaven big stars, and has placed therein a great lamp (sun), and a moon giving light.] (Al-Furqan: 61)
And, [And We have made (therein) a shining lamp (sun).] (An-Naba': 13)
The Scientific Facts:
The energy of the sun (universal atomic pile): The energy of the sun is generated by the burning of hydrogen, which is the main constituent of the sun that transforms it into helium deep within, where there is very high density, pressure, and temperatures reaching 15,000,000°. This leads to a nuclear reaction and fusion of four hydrogen atoms to make one helium atom. The leftover energy from this reaction is released in the form of electromagnetic energy divided into short wave rays, infrared rays, and ultraviolet rays.
This means that the sun obtains its energy from within through natural nuclear reaction under very high pressure, heat, and density as if it is a mega atomic pile made to provide earth with light, warmth, and energy.
The sun is considered a star and is a luminous celestial body, whereas the moon is a planet; a dark celestial body that reflects the light it receives from stars and the sun as do all the other natural satellites of the planets (the moons).
Facts of Scientific Inimitability:
More than fourteen centuries ago, the Ever-Glorious Qur'an indicated the difference between stars and planets exemplified in the difference between the sun and the moon.
Modern astronomers only discovered this fact recently after the telescope was invented and after applying photometric and spectrogram researches on stars and planets.
Stars are luminous celestial bodies whereas planets are dark celestial bodies that reflect the light received from stars and the sun as do all other natural satellites of the planets and (moons).
The sun is a mega atomic pile swimming very fast in space and has many various forms of light, heat, and energy. It is not just a bright disk; rather it is like a shining lamp, whereas the moon is a planet that reflects the light of the sun to lighten the night on earth.
This fact was described in these two honorable verses fourteen centuries ago, then we must ask ourselves, who told Prophet Muhammad r about it but Allah, the Most High!
Source: The Sun is a Great Lamp, and the Moon Gives Light
sijaona jibu la moja kwa moja!!!
NB. MAADA HII NI YA KIROHO ZAIDI. KWA MAANA HIYO MAJIBU HAYA YATAELEWEKA VIZURI SANA KWA WALE WA KIROHO. ILA YATALETA CONTRADICTIONS NYINGI KWA WATU SAWASIO WA KIROHO.
kama ilivyo andikwa "Mtu ambaye hana Roho wa Mungu hawezi kupokea mambo yatokayo kwa Roho wa Mungu, kwa kuwa ni upuuzi kwake, naye hawezi kuyaelewa kwa sababu hayo yanaeleweka tu kwa jinsi ya rohoni. (1wakorintho 2:14)
so SOMA VIZURI HII... NIME-COPY and paste FROM MWALIMU Mgisa Mtebe
INDRODUCTION
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu visivyoonekana (ulimwengu wa kiroho) - the imaterial things
• Vitu vinavyoonekana (the universe) -the physical world
Na vyote viko kwa pamoja
1. Vitu visivyoonekana (vya ulimwengu wa roho) ndivyo vilivyosababisha vitu vinavyoonekana (vya ulimwengu wa mwili) kutokea na kuumbika. (Waebrania 11:3) '… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (wazi wazi)'
Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana (yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu (vinavyotawala vya kimwili).
2. Kwa lugha rahisi ni kwamba, ulimwengu huu, una pande mbili. Yaani upande wa rohoni na upande wa mwilini. Ni ulimwengu mmoja, ila una pande mbili. Yaani upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!(2Wakorintho 4:18)
3. Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili. Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).
1Wakorintho 15:44 "Ikiwa kuna mwili wa asili, Basi na mwili wa roho pia, upo"
4. Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo, hapana; Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa zilizopita.
BAADA YA HAPA NOW UNAWEZA KUELEWA YAFUATAYO.
UKISOMA VIZURI Mwanzo 1:1-5, 14-19 UTAGUNDUA HAYA YAFUATAYO
1. Kumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi, kwasababu Nuru ilikuwepo tangu siku ya kwanza wakati jua na mwezi viliumbwa baadaye kabisa katika siku ya nne!
2. Kumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangaza ulimwenguni, bali jua ni "kibebeo" tu cha kuleta mwanga duniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.
3. Nuru - to- Jua - to- Mwanga
(Yesu/Neno)Yoh 1:7-9
4. Kwa lugha rahisi; Mwanga au Nuru inayoangaza duniani, ina vyanzo viwili; kimoja ni kipo katika ulimwengu wa mwili na kingine kipo katika ulimwengu wa roho.
5. Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.
6. Hii ina maana kwamba; Kanuni za Kiroho zilikuwepo kabla ya Kanuni za Kimwilini kuwepo. Kwa hiyo, Kanuni za Kiroho ndizo zinazotawala Kanuni za Kimwili za Ulimwengu huu.
7. Hii ina maana kwamba; Hakuna kitu kinachofanyika katika Ulimwengu wa mwili, mpaka kimefanyika kwanza katika Ulimwengu wa roho.
8. Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.
9. Yohana 5:12 Kisha Yesu akasema nao tena akawaambia, "Mimi ni Nuru ya ulimwengu. Mtu ye yote akinifuata hatatembea gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima."
10. Yohana 3:16-20, mstari wa 19 unasema "Hii ndiyo hukumu kwamba: Nuru imekuja ulimwenguni, nao watu wakapenda giza kuliko Nuru kwa sababu matendo yao ni maovu"
11. Nuru produced Jua , and jua produced Mwanga
(Yesu/Neno) Yoh 1:7-9
12. Luka 4:1-4 "Mtu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Bwana". kwahiyo its from Neno to Mkate to Afya. Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkate tunaokula tu, bali kwa katika Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.
Binadamu ukitaka kujua muujiza wa uumbaji wa Dunia na vyote vilivyomo ndani ya dunia,pamoja na sayari zake zinazozunguka dunia,ni wazi utakuwa unaumiza kichwa chako tu.
Hivi umewahi kujiuliza kitu kimoja tu,inawezekanaje dubwasha kubwa kama dunia,mwenyezi Mungu aliliumba kwa kusema tu,dunia kuwa,na papo hapo dunia ikatokea,na hapo hapo,pamoja na ukubwa wake wote wa dunia na pamoja na kuelea hewani,bila ya kushikiliwa na.kitu chichote,na pamoja na kuwa dunia wakati wote inazunguka,lakini tokea kuumbwa kwake,haijawahi kusogea tokea eneo lake aliloliweka Mungu,hata kwa sentimeta moja!!
Ndiyo maana inanenwa,mwacheni Mungu aitwe Mungu,ikiwa na maana kuwa utukufu na uwezo wa Mungu,hauwezi kuufananisha na kitu chochotw kile!!