Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Uko sahihi kabisa ukizingatia kwenye hii fani kuna mawasiliano mengi ni kingereza katika utoaji...Napenda nimshauri kwanza ajipe week kadhaa za angalau kuboresha kiingereza chake kabla ya kuajiriwa na wizara ya Afya kwani kosa kama alilolifanya hapa basi kwa serious private employer yeye hana nafasii yeye hana nafasi hata ya kuitwa kwenye interview kwa sababu hataweza hata kuandika report ya kazi zake wanini mtu wa hivyo? na kama ni error basi inaonyesha ni lezaafea fulani na ni muhimu pia ajifunze communication techs