Kweli Mungu anajua kuumba jamani dah.....hatareeee, yaani ukiwa na mke kama huyu ndani ya nyumba ni furaha tu na hata ukitembea nae barabarani.....you feel so proud kweli una beibi.....! Jamani....lol kama hawa TZ jamani wanapatikana pande zipi jamani??
Je, ukikuta au ukiambiwa huyo nurse yuko hospitali ya taasisi nyeti kama jeshi, polisi, takukuru au usalama wa taifa bado utataka uugue kwa lengo la kutaka kufanya 'upuuzi' kule????