Beah
Senior Member
- Feb 15, 2015
- 127
- 75
- Thread starter
- #61
Pendeni kufanya vitu kwa uchunguzi hiyo barabara imetoka kukamilika miezi michache iliyopita halafu serikali itoke hapo ianze tena bomoa bomoa ya kuongeza barabara ni kitu ambacho non sense jaribu kabla haujafanya kitu na kuandika kitu uwe na uhakika nacho leo hii siwezi kusema nauza kitu halafu kiwe cha matatizo au cha utata ili faida yake iwe nini badae au mnadhani kila mtu anaepost humu ni tapeli anawaza kupata hela bila kuangalia utu wake.Duu mkuu unataka kukimbia hapo road mapema kijanja, waulize wakazi wa kuanzia kimara mpk kiluvya watakueleza mita 120 ninini.