Nunua gari Ndugu yangu. Aibu ndogo ndogo zinaepukika

Nunua gari Ndugu yangu. Aibu ndogo ndogo zinaepukika

politics observer

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2024
Posts
534
Reaction score
674
Gari ni hitaji la msingi sana asikwambie mtu.

Wenye akili za kikoloni watakwambia anza na nyumba.

Hatusemi nyumba sio muhimu bt ukweli utabaki kuwa ni wachache sana wenye uwezo wa kujenga nyumba bora kwa ajili y makazi kwa mkupuo.

Milion 6 unapata gari ya mkononi iliokuwa kwenye hali nzuri, hasa hizi gari ndogo. Wakati pesa hiyo hiyo huwezi pata nyumba ya mkononi, sometimes hata kiwanja unaweza pata cha mabondeni huko, haswa kwa wale wanaoishi mijini.

Nakumbuka hata simu zilivyoingia mwanzoni zilionekana anasa, leo hii ni nyenzo kuu ya mawasiliano. Internet ilionekana ni ya wasomi tuu, leo tunajionea inavyogombewa hadi vijijini huko kwa bibi zetu.

Gari now days ni hitaji la msingi sana hasa kwa kijana mwenye familia au kazi inayomtaka kuwa smart mda wote.

Mimi binafsi nilianza kumiliki gari nikiwa na kipato cha chini sana, bt adha ya usafiri, mahitaji ya kifamilia na kero nyinginezo km mvua na jua kali zilinifanya kuanza na gari ndogo aina ya IST.

Gharama za matunzo na mafuta zilikuwa almost same n public transports, cz kufika kazin ilinipasa kupanda bajaji 1 na daradara mbili hii ni kwenda peke yake, Bado hujarudi… (achilia mbali masaa ninayopoteza njiani).

Nashkuru Mungu, punctuality, personal hygiene, (hivi vilichagizwa na kuanza kutumia private car) na pia kuwa commited na majukumu yng kilinifanya kuwa promoted.

Now nimebadilisha gari, natumia toleo jipya zaidi, Na nimeanza ujenzi goba. No stress at all.

Sitaki kukumbuka siku niliyoloa mvua bamaga kipindi naenda job.

Sitaki kukumbuka ile homa ya mtoto usiku na hapakuwa n msaada wowote wa usafiri.

Sitaki kukumbuka kuchaniwa shirt kwenye mwendokasi wakati wa kugombania.

Sitaki kukumbuka ile cku tuliyoenda harusini na shemeji yenu, tukabaki kufungua mapambo ya ukumbi cz kila mmoja aliondoka na chuma yake na sisi tukabaki na mlinzi tukirequest uber bila mafanikio yoyote. (Tulilala ukumbini hiyo siku).

Ukienda club kwa lift y mwana hata mziki uchezi kwa raha… jamaa akitaka kwenda chooni tuu unamfwaa ( unaogopa kuachwa solemba).

Narudia tena…. Nunua gari bro, Aibu ndogo ndogo zinaepukika.
 
Gari ni hitaji la msingi sn asikwambie mtu.

Wenye akili za kikoloni watakwambia anza na nyumba.

Hatusemi nyumba sio muhimu bt ukweli utabaki kuwa ni wachache sn wenye uwezo wa kujenga nyumba bora kwa ajili y makazi kwa mkupuo.

Milion 6 unapata gari y mkononi iliokuwa kwny hali nzuri, hasa hizi gari ndogo. Wakati pesa hiyo hiyo huwez pata nyumba y mkononi, sometimes hata kiwanja unaweza pata cha mabondeni huko, haswa kwa wale wanaoishi mijini.

Nakumbuka hata simu zilivyoingia mwanzoni zilionekana anasa, leo hii n nyenzo kuu ya mawasiliano. Internet ilionekana n yawasomi tuu, leo tunajionea inavyogombewa hadi vijijini huko kwa bibi zetu.

Gari now days ni hitaji la msingi sn hasa kwa kijana mwenye familia au kazi inayomtaka kuwa smart mda wote.

Mm binafsi nilianza kumiliki gari nikiwa n kipato cha chini sn, bt adha y usafiri, mahitaji y kifamilia na kero nyinginezo km mvua na jua kali zilinifanya kuanza na gari ndogo aina ya ist…

Gharama za matunzo na mafuta zilikuwa almost same n public transports, cz kufika kazin ilinipasa kupanda bajaji 1 na daradara mbili hii n kwenda peke yake, Bado hujarudi… (achilia mbali masaa ninayopoteza njiani).

Nashkuru Mungu, punctuality, personal hygiene, (hivi vilichagizwa na kuanza kutumia private car) na pia kuwa commited na majukumu yng kilinifanya kuwa promoted.

Now nimebadilisha gari…natumia toleo jipya zaidi, Na nimeanza ujenzi goba. No stress at all.

Sitaki kukumbuka siku niliyoloa mvua bamaga kipindi naenda job,

sitaki kukumbuka ile homa y mtoto usiku na hapakuwa n msaada wowote wa usafiri.

Sitaki kukumbuka kuchaniwa shirt kwny mwendokasi wakati wa kugombania.

Sitaki kukumbuka ile cku tuliyoenda harusini n shemeji yenu, tukabaki kufungua mapambo y ukumbi cz kila mmoja aliondoka na chuma yake na ss tukabaki na mlinzi tukirequest uber bila mafanikio yoyote. (Tulilala ukumbini hiyo siku).

Ukienda club kwa lift y mwana hata mziki uchezi kwa raha… jamaa akitaka kwenda chooni tuu unamfwaa ( unaogopa kuachwa solemba).

Narudia tena…. Nunua gari bro, Aibu ndogo ndogo zinaepukika.
Kweli mkuu but Life is about priority
 
Gari ni hitaji la msingi sn asikwambie mtu.

Wenye akili za kikoloni watakwambia anza na nyumba.

Hatusemi nyumba sio muhimu bt ukweli utabaki kuwa ni wachache sn wenye uwezo wa kujenga nyumba bora kwa ajili y makazi kwa mkupuo.

Milion 6 unapata gari y mkononi iliokuwa kwny hali nzuri, hasa hizi gari ndogo. Wakati pesa hiyo hiyo huwez pata nyumba y mkononi, sometimes hata kiwanja unaweza pata cha mabondeni huko, haswa kwa wale wanaoishi mijini.

Nakumbuka hata simu zilivyoingia mwanzoni zilionekana anasa, leo hii n nyenzo kuu ya mawasiliano. Internet ilionekana n yawasomi tuu, leo tunajionea inavyogombewa hadi vijijini huko kwa bibi zetu.

Gari now days ni hitaji la msingi sn hasa kwa kijana mwenye familia au kazi inayomtaka kuwa smart mda wote.

Mm binafsi nilianza kumiliki gari nikiwa n kipato cha chini sn, bt adha y usafiri, mahitaji y kifamilia na kero nyinginezo km mvua na jua kali zilinifanya kuanza na gari ndogo aina ya ist…

Gharama za matunzo na mafuta zilikuwa almost same n public transports, cz kufika kazin ilinipasa kupanda bajaji 1 na daradara mbili hii n kwenda peke yake, Bado hujarudi… (achilia mbali masaa ninayopoteza njiani).

Nashkuru Mungu, punctuality, personal hygiene, (hivi vilichagizwa na kuanza kutumia private car) na pia kuwa commited na majukumu yng kilinifanya kuwa promoted.

Now nimebadilisha gari…natumia toleo jipya zaidi, Na nimeanza ujenzi goba. No stress at all.

Sitaki kukumbuka siku niliyoloa mvua bamaga kipindi naenda job,

sitaki kukumbuka ile homa y mtoto usiku na hapakuwa n msaada wowote wa usafiri.

Sitaki kukumbuka kuchaniwa shirt kwny mwendokasi wakati wa kugombania.

Sitaki kukumbuka ile cku tuliyoenda harusini n shemeji yenu, tukabaki kufungua mapambo y ukumbi cz kila mmoja aliondoka na chuma yake na ss tukabaki na mlinzi tukirequest uber bila mafanikio yoyote. (Tulilala ukumbini hiyo siku).

Ukienda club kwa lift y mwana hata mziki uchezi kwa raha… jamaa akitaka kwenda chooni tuu unamfwaa ( unaogopa kuachwa solemba).

Narudia tena…. Nunua gari bro, Aibu ndogo ndogo zinaepukika.
Ni kweli gari ni muhimu na kitu kizuri nakubali,

ila Lakini wengi pia wamepata na kumiliki magari baada ya kufanyishwa kazi na mambo ya fedheha sana dhidi ya utu wao, dah! Inasikitisha sana 🐒
 
Gari ni hitaji la msingi sn asikwambie mtu.

Wenye akili za kikoloni watakwambia anza na nyumba.

Hatusemi nyumba sio muhimu bt ukweli utabaki kuwa ni wachache sn wenye uwezo wa kujenga nyumba bora kwa ajili y makazi kwa mkupuo.

Milion 6 unapata gari y mkononi iliokuwa kwny hali nzuri, hasa hizi gari ndogo. Wakati pesa hiyo hiyo huwez pata nyumba y mkononi, sometimes hata kiwanja unaweza pata cha mabondeni huko, haswa kwa wale wanaoishi mijini.

Nakumbuka hata simu zilivyoingia mwanzoni zilionekana anasa, leo hii n nyenzo kuu ya mawasiliano. Internet ilionekana n yawasomi tuu, leo tunajionea inavyogombewa hadi vijijini huko kwa bibi zetu.

Gari now days ni hitaji la msingi sn hasa kwa kijana mwenye familia au kazi inayomtaka kuwa smart mda wote.

Mm binafsi nilianza kumiliki gari nikiwa n kipato cha chini sn, bt adha y usafiri, mahitaji y kifamilia na kero nyinginezo km mvua na jua kali zilinifanya kuanza na gari ndogo aina ya ist…

Gharama za matunzo na mafuta zilikuwa almost same n public transports, cz kufika kazin ilinipasa kupanda bajaji 1 na daradara mbili hii n kwenda peke yake, Bado hujarudi… (achilia mbali masaa ninayopoteza njiani).

Nashkuru Mungu, punctuality, personal hygiene, (hivi vilichagizwa na kuanza kutumia private car) na pia kuwa commited na majukumu yng kilinifanya kuwa promoted.

Now nimebadilisha gari…natumia toleo jipya zaidi, Na nimeanza ujenzi goba. No stress at all.

Sitaki kukumbuka siku niliyoloa mvua bamaga kipindi naenda job,

sitaki kukumbuka ile homa y mtoto usiku na hapakuwa n msaada wowote wa usafiri.

Sitaki kukumbuka kuchaniwa shirt kwny mwendokasi wakati wa kugombania.

Sitaki kukumbuka ile cku tuliyoenda harusini n shemeji yenu, tukabaki kufungua mapambo y ukumbi cz kila mmoja aliondoka na chuma yake na ss tukabaki na mlinzi tukirequest uber bila mafanikio yoyote. (Tulilala ukumbini hiyo siku).

Ukienda club kwa lift y mwana hata mziki uchezi kwa raha… jamaa akitaka kwenda chooni tuu unamfwaa ( unaogopa kuachwa solemba).

Narudia tena…. Nunua gari bro, Aibu ndogo ndogo zinaepukika.
Hongera kwa kununua mchuma
 
Binafsi nadhani gari labda nitanunua nikifanikiwa kufikisha miaka 45, huwa sioni sababu ya msingi haswa kwa nini nimiliki gari kwa sasa. Vijana wengi wanamiliki magari kwa sababu ya shinikizo rika (peer pressure), tena usiombe ukute amenunua kwa mkopo utamuonea huruma.

Kama unategemea watu wakuheshimu kwa sababu una gari basi inawezekana una tatizo la afya ya akili, siku usipokuwa na gari na heshima yako mbele yao ndio inapotea??!!!

Kama wewe ni Kijana na unatoka kwenye familia zetu hizi za mama ntilie usiingie kwenye mikumbo ya kutafuta Liabilities badala ya Assets.

Vijana wenzangu jifunzeni kuishi maisha yenu bila kuhitaji uthibitisho kutoka kwa watu wengine.
 
Hapa una maanisha kuwa kama una uwezo basi mtu aanze Kununua Gari kabla ya kujenga..

Ni Kweli kabisa, hasa kwa Wakaaji wa Dar.
Usafiri unatesa sana.

Mipango ianzie kwenye Gari.
Haijalishi ni Miaka Mingap unajisave, ila Ni muhimu pia Kwenda Site kukoromea Mafund ukiwa na hata Ki IST chako.
 
Ni kweli gari ni muhimu na kitu kizuri nakubali,

ila Lakini wengi pia wamepata na kumiliki magari baada ya kufanyishwa kazi na mambo ya fedheha sana dhidi ya utu wao, dah! Inasikitisha sana 🐒
Si mradi ana usafiri? Je nyie miccm mnavyotweza utu wa wapiga kura wenu mradi mjinufaishe mavitambi yenu je?
 
Gari ni hitaji la msingi sn asikwambie mtu.

Wenye akili za kikoloni watakwambia anza na nyumba.

Hatusemi nyumba sio muhimu bt ukweli utabaki kuwa ni wachache sn wenye uwezo wa kujenga nyumba bora kwa ajili y makazi kwa mkupuo.

Milion 6 unapata gari y mkononi iliokuwa kwny hali nzuri, hasa hizi gari ndogo. Wakati pesa hiyo hiyo huwez pata nyumba y mkononi, sometimes hata kiwanja unaweza pata cha mabondeni huko, haswa kwa wale wanaoishi mijini.

Nakumbuka hata simu zilivyoingia mwanzoni zilionekana anasa, leo hii n nyenzo kuu ya mawasiliano. Internet ilionekana n yawasomi tuu, leo tunajionea inavyogombewa hadi vijijini huko kwa bibi zetu.

Gari now days ni hitaji la msingi sn hasa kwa kijana mwenye familia au kazi inayomtaka kuwa smart mda wote.

Mm binafsi nilianza kumiliki gari nikiwa n kipato cha chini sn, bt adha y usafiri, mahitaji y kifamilia na kero nyinginezo km mvua na jua kali zilinifanya kuanza na gari ndogo aina ya ist…

Gharama za matunzo na mafuta zilikuwa almost same n public transports, cz kufika kazin ilinipasa kupanda bajaji 1 na daradara mbili hii n kwenda peke yake, Bado hujarudi… (achilia mbali masaa ninayopoteza njiani).

Nashkuru Mungu, punctuality, personal hygiene, (hivi vilichagizwa na kuanza kutumia private car) na pia kuwa commited na majukumu yng kilinifanya kuwa promoted.

Now nimebadilisha gari…natumia toleo jipya zaidi, Na nimeanza ujenzi goba. No stress at all.

Sitaki kukumbuka siku niliyoloa mvua bamaga kipindi naenda job,

sitaki kukumbuka ile homa y mtoto usiku na hapakuwa n msaada wowote wa usafiri.

Sitaki kukumbuka kuchaniwa shirt kwny mwendokasi wakati wa kugombania.

Sitaki kukumbuka ile cku tuliyoenda harusini n shemeji yenu, tukabaki kufungua mapambo y ukumbi cz kila mmoja aliondoka na chuma yake na ss tukabaki na mlinzi tukirequest uber bila mafanikio yoyote. (Tulilala ukumbini hiyo siku).

Ukienda club kwa lift y mwana hata mziki uchezi kwa raha… jamaa akitaka kwenda chooni tuu unamfwaa ( unaogopa kuachwa solemba).

Narudia tena…. Nunua gari bro, Aibu ndogo ndogo zinaepukika.
Sawa ndugu dalali wa magari.

Ofisi zenu zipo wapi?
 
Hapa una maanisha kuwa kama una uwezo basi mtu aanze Kununua Gari kabla ya kujenga..

Ni Kweli kabisa, hasa kwa Wakaaji wa Dar.
Usafiri unatesa sana.

Mipango ianzie kwenye Gari.
Haijalishi ni Miaka Mingap unajisave, ila Ni muhimu pia Kwenda Site kukoromea Mafund ukiwa na hata Ki IST chako.
Kwamba siopoa kugombea daladala na mafundi wako uliotoka kuwalipa posho soon.😂✅
 
Si mradi ana usafiri? Je nyie miccm mnavyotweza utu wa wapiga kura wenu mradi mjinufaishe mavitambi yenu je?
umeona sasa Tatizo lilipo?

kujidharau ni kitu mbaya sana my friends, ladies and gentlemen, yaani kwamba wewe mwenyewe huwezi kufanya lolote kwa bidii na ukapata unachohitaji kwa haki, mpaka ukatweze utu wako kwa watu mbalimbali, surely?

halafu,
CCM imefikaje kwenye uzi wa kuhusu umuhimu wa kua usafiri wako wa uhakika, eti my lady?🐒
 
Back
Top Bottom