Nunda (9) Nunda kafeli kapata "F"

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Sikumoja Nunda alirejea shule na kumwambia baba yake kuwa amepata "F"
Baba yake akashangaa sana vipi umepata F

Nunda; Mwalimu aliuliza 3X2 nikamwambia jawabu ni sita
Baba: Ni sawa sawa kabisa !
Nunda: kisha akauliza tena 2X3
Baba:Mwalimu mshenzi kuna tofauti gani hapo !

Nunda: Ndio baba na mimi nilimwambia hivyo hivyo ,we mwalimu mshenzi sana kuna tofauti gani hapo :becky:
 
Uyo mwlm alikua na bifu lake dhidi ya nunda!
 
Hamna cha bifu wala mwalimu hana kitu ,ila naona hapo juu mpo wawili mmeungana na baba yake Nunda ,yaani sababu ya Nunda kupata F alijibu maneno ya kumdharau mwalimu ,baada ya baba yake kumwambia au kuliona kosa la mwanae na yeye alimponda mwalimu ,hivyo hata faza wake Nunda alipata F.:becky:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…