Nukuu ya leo kwa wana MMU

Nukuu ya leo kwa wana MMU

Mi huwa nakufia kabisa walahi tena... Nataka nilete posa kabisa niwakomeshe akina Mr Rocky na Ntuzu tena huyu ana makelele yake... bhati nzuri tu makelele ya mpangaji hayamzuii mwenye mji kulala maana pangechimbika...

Unatakuja lini shemd? Cant wait
 
Last edited by a moderator:
Wandugu endeleeni kutuombea kaka, Mungu akipenda tutavuta majiko karibuni. KUSUDI lake likapate kusimama kwa wakati alioukusudia Yeye. Tukapate uvumilivu na saburi kusubiri wakati wake kupokea aliotuandalia sisi wanawe maana wote waliompokea aliwapa uweza wa kufanyika wana.
Niko poa kabisa mkuu Ntuzu Mungu anatupigania aise tunaiona kila siku iitwayo leo na familia inaendelea vizuri kabisa hakuna maneno.
Hope na kwako watoto na mama wako salama kabisa hawana maneno aise
Najua hilo mkuu na ndo maana tunapenda sana Tized aingie kwenye chama na utafiti aise hapo naamini tutaongea kwa herufi kubwa kuhusu familia
Tized anaweza kuwa shemeji zima taa kaka hayupo

Nawapenda sana shemeji zangu, Hawana neno kabisa tunaheshimiana sana. Muwe na amani kijana wenu sina machachari
Asante sn Mkuu!

Hahaaa Huyu Tized wake zetu anawapenda sn aiseeee!

Mkuu uwe na amani, nitaingilia tu pale ntakapoombwa nije kutoa msaada na naahidi sitawaangusha mashemeji zangu hawa.
Apende tuu ila asiende zaidi ya hapo aise maana atakuwa kavunja sheria aise
 
Sorry kwa kutokushirikisha...!


Nachungulia ubingwa wa EPL mamito!

Nimechukia ujue.....na mimi ntaacha kukushirikisha ya kwangu. Af hiyo misamiati yako ya mpira mi ndo huwa tunashindana hapohapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom