Yah maneno hayo nimachache but yaliyo jitosheleza Mandela ni kiongozi si mtawala tht why amekuwa na akili za ziada hurre Madiba
Jamani baada ya Nukuu hiyo naomba mnipe na nukuu ya Kikwete ambayo aliongea maneno ya msingi na yenye points.
From JK himself "Ukitaka kula lazima ukubali kuliwa"
Duh!Kama maneno haya ni ya mkuu wa nchi basi umaskini ni wetu!
Ndio maana wakina kameruni wanataka kumla
Akili za nanihii changanya na zako.Jamani baada ya Nukuu hiyo naomba mnipe na nukuu ya Kikwete ambayo aliongea maneno ya msingi na yenye points.
Taratibu mkuu, ni mzee wetu yule anastahili hata heshima ya umri.Ndio maana wakina kameruni wanataka kumla
Jamani baada ya Nukuu hiyo naomba mnipe na nukuu ya Kikwete ambayo aliongea maneno ya msingi na yenye points.
Jamani baada ya Nukuu hiyo naomba mnipe na nukuu ya Kikwete ambayo aliongea maneno ya msingi na yenye points.
Duh!Kama maneno haya ni ya mkuu wa nchi basi umaskini ni wetu!
"Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mebele" - Kikwete
'to relax our efforts now would be a mistake which generations to come will not be able to forgive.'
members naomba tafakari zenu.
Source:google
we really miss these visionary leaders, maskini aliona mbali! Haya ndo yanakuja tanzania, juhudi za mwalimu na jamii yake zimechezewa na hakika nawaambia kizazi hiki na kinachokuja kamwe ka==hakitamsamehe hata mmoja aliyehuska kuzorotesha juhudi hizi!