Nukuu katika picha

Nukuu katika picha

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
11651112_986905594683735_230884100_n.jpg
 
Ubaguzi wa wazi

Kauli kama hizi naziita za kihuni na zinapotoka kinywani mwa kiongozi anaetakiwa kuwa mstari wa mbele kusimamia na kusisitiza usawa, haziwi tu za kihuni bali za kifala zinazoashiria upungufu wa uwezo wa uongozi na utawala
 
kumbe huyu kijana ni mtupuu hivi....sikujua. one thing for sure Tanzania tunaviongozi wa ajabu sana....
 
Rizone ni nani kwa Tz hii?! :sleepy::sleepy::sleepy::sleepy:
 
analinda masilahi yake wajameni
 
Rais wa nchi anachaguliwa na mtoto wa Raisi
 
mwenye nukuu yake bungeni akimuunga mkono wazziwazi membe atuwekee pia hapa jameni
 
Huyu hawezi kuwa kiongozi wa umma kwa kauli hizi...
 
Watu wenye akili na uwezo wa kuongoza nchi lazima watoke ukanda wa pwani.

Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Membe, Makamba, ...........

Watanznia wegine ni wasindikizaji tu
 
Watu wenye akili na uwezo wa kuongoza nchi lazima watoke ukanda wa pwani.

Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Membe, Makamba, ...........

Watanznia wegine ni wasindikizaji tu
Du! Haya bana na mwalimu je?
 
Back
Top Bottom