Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,932
- 30,046
HayaaMfano mzuri ni kampuni ya Smart wanatengeneza perfume zote zenye majina uzijuazo.....zile unaweza kuita fake coz mmiliki halali ajampa lisence...tofauti na hz..
TOPIC CLOSED..
HayaaMfano mzuri ni kampuni ya Smart wanatengeneza perfume zote zenye majina uzijuazo.....zile unaweza kuita fake coz mmiliki halali ajampa lisence...tofauti na hz..
TOPIC CLOSED..
Wapo wanaochukua kwa ajili ya kuziuza mikoani ila sidhani km utapata kwa bei hizi...kwasasa watu dar ndio wanafaidika zaidi na offer hii, ila tupo mbioni kuona ni namna gani tutaweza kuwafikia, km una mtu dar mwambie akichukulie kisha akutumieWatu wa mkoani tunawezaje kupata bidhaa mkuu?
Ashasema hapo juu kuwa perfume ni cloneHizi si km za wale chupa imebandikwa jina la perfume....mzigo upo km inavyoonekana pichani
Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
Armani Code kama hiyo nimeinunua USD 96 kwenye ndege. Duty-free. Sasa wewe unaiuza Tsh 45,000/= Napata mashaka kidogoArmani Code Ujazo wa 125ml 45K tu. Ukichukua zaidi ya moja bei inashuka
Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
Amesema sio ogArmani Code kama hiyo nimeinunua USD 96 kwenye ndege. Duty-free. Sasa wewe unaiuza Tsh 45,000/= Napata mashaka kidogo
Hatari hiiHiyo kitu ml 50 usd 230 duty free shop