Dah mkuu!!!hahahah.Jaribu upupu utakufaa
Una white diamonds - Elizabeth Taylor- beiThnx Guys naona mzigo mmeupokea vizuri....
Powa savage bei gan vp wamikoani tunapatajeSauvage, Dolce& Gabbana The one
Lkn ni copy mkuuKaka nimekucheki pm naona kimya..nahitaji hiyo arman code fasta
Umaridadi uficha mengi, nukia kijanja na perfume classic kwa bei ya kutupa, kwa perfume za jumla na rejareja kwa perfume zifuatazo nione DM au piga 0713819646
View attachment 626777 View attachment 626778 View attachment 626779 View attachment 626780 View attachment 626782
View attachment 626783 View attachment 626784 View attachment 626785 View attachment 626786 View attachment 626787
Perfume ni clone kutoka UK muonekano wa picha na bidhaa utakayo uziwa ndio huo huo km unavyoonekana hakuna longo longo.
Huu mzigo upo kwenye offer kwa atakae chukua nenda kwenye maduka yenu kule posta mnapo uziwa 150k ukikuta tofauti na huu nakurudishia ela yako
Hizo posts tatu zinajichanganya. Unasema ni clone halafu akalinganishe na zile OG zitakuwa sawa kweli?! Mfano Clone ya iPhone inaweza kuwa sawa na OG iPhone?100% inarudi shaka ondoa
Hapa ulimaanisha nini??Perfume ni clone kutoka UK muonekano wa picha na bidhaa utakayo uziwa ndio huo huo km unavyoonekana hakuna longo longo.