voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Tunaona waandishi wengi wakifanya Interview na Viongozi wetu mara nyingi nchini.
Lakini kuna mahali wanapwaya sana,pale wanaposhikwa na vigugumizi kuuliza maswali magumu.
kwa Viongozi wetu kuhusiana na hali halisi ya wakati kuendana na matarajio ya wananchi.
Kwa muda sasa Mtangazaji Aloyce nyanda wa Star TV na kipindi chake cha The Big Agenda.
Amejizolea umaarufu kutokana na jinsi anavyoendesha vipindi vyake kwa weledi.
Kupitia ukurasa huu nampendekeza #Aloycenyanda aandae mahojiano maalumu na mheshimiwa Rais wa JMT,
Samia Suluhu Hassan ikiwa ni moja ya maadhimisho ya kutimiza mwaka mmoja akiwa madarakani.
Tunatarajia atatimiza kiu ya Watanzania wengi kwa maswali yasiyo na woga bali yenye kutimiza majibu kwa wananchi.
Lakini kuna mahali wanapwaya sana,pale wanaposhikwa na vigugumizi kuuliza maswali magumu.
kwa Viongozi wetu kuhusiana na hali halisi ya wakati kuendana na matarajio ya wananchi.
Kwa muda sasa Mtangazaji Aloyce nyanda wa Star TV na kipindi chake cha The Big Agenda.
Amejizolea umaarufu kutokana na jinsi anavyoendesha vipindi vyake kwa weledi.
Kupitia ukurasa huu nampendekeza #Aloycenyanda aandae mahojiano maalumu na mheshimiwa Rais wa JMT,
Samia Suluhu Hassan ikiwa ni moja ya maadhimisho ya kutimiza mwaka mmoja akiwa madarakani.
Tunatarajia atatimiza kiu ya Watanzania wengi kwa maswali yasiyo na woga bali yenye kutimiza majibu kwa wananchi.
Code: