Jaka mtuhumiwa, duh ilikuwa ni bonge la story, nakumbuka enzi zile nikajipa aka Mr Suspect. Tuwa yupo njema sana.
Mkuu kama vipi niuzie cha mdunguaji, bado sijakisoma
Jaka mtuhumiwa, duh ilikuwa ni bonge la story, nakumbuka enzi zile nikajipa aka Mr Suspect. Tuwa yupo njema sana.
Mkuu kama vipi niuzie cha mdunguaji, bado sijakisoma
tafuta muda me nko dar hapa hapa!!!.ila kama unacho cha mtuhumiwa tubbadilishane maana mm sijakisoma nlihadithiwa tu general story ila bado utam na msisimko nlipata,je nkisoma kitabu kizima si ndo itakuwa sheeeder??
Jaka mtuhumiwa, duh ilikuwa ni bonge la story, nakumbuka enzi zile nikajipa aka Mr Suspect. Tuwa yupo njema sana.
Mkuu kama vipi niuzie cha mdunguaji, bado sijakisoma