TODO
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 219
- 62
ujio wa mamlaka ya mifuko ya hifadhi ya jamii nssra utaweza kweli kupunguza gap iliyopo kati ya mfuko mmoja na mwingine mfano nssf wanacharge ten percent kwenye gross salary wakati ppf wanacharge five prrcent kwenye basic salary.na kwa maana hyo watu wa ppf mfano wanabenefit in short run wakati nssf wanaathirika lakini kwa muda mrefu linyume chake.karibu wana jamii mtuelimishe zaidi juu ya hili