NSSF ongezeni viwango vya malipo kwa wastaafu

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,664
22,255
NSSF huwa haina kawaida kuongeza malipo kwa wastaafu licha ya kuwa na pesa zao zinazofujwa! Tunajua serikali huwa haihusiki kuongeza viwango vya malipo kwa wanachama wa NSSF, jukumu hilo liko chini ya NSSF kutokana na pesa ilizonazo kuwa ni mali ya wanachama.

Hakuna ubishi kuwa kunaufujaji mkubwa sana wa pesa za michango ya wafanyakazi, pesa hizo zimekuwa zikitumika kwenye miradi ambayo baadae hutelekezwa huku wahusika wakilipwa viwango duni bila sababu.

Kutokana na hali ya maisha kupanda ni wakati umefika kwa NSSF kuongeza viwango vya malipo kwa wastaafu wake.
 
Hiyo NSSF ilivurugwa kile kipindi nchi iko mateka kwa miaka 6.

Nchi ilikua chini ya ukoloni ila safari hii ukiwa wa mtu mweusi.

Pesa zilikua zinachukuliwa bila utaratibu zinaenda kwenye miradi kwa kauli ya maagizo toka juu.

Sio ajabu wastaafu wengi ndani ya miaka hiyo walikaa miaka 3 kila siku wanapigwa kalenda na wengine kufariki bila kupata jasho lao.

Yule dikteta ana sababu nyingi za kuchukiwa.
 
Hiyo NSSF ilivurugwa kile kipindi nchi iko mateka kwa miaka 6.

Nchi ilikua chini ya ukoloni ila safari hii ukiwa wa mtu mweusi.

Pesa zilikua zinachukuliwa bila utaratibu zinaenda kwenye miradi kwa kauli ya maagizo toka juu.

Sio ajabu wastaafu wengi ndani ya miaka hiyo walikaa miaka 3 kila siku wanapigwa kalenda na wengine kufariki bila kupata jasho lao.

Yule dikteta ana sababu nyingi za kuchukiwa.
Halafu kuna wapumbavu wanapita humu na neno LIGANSI
 
Hiyo NSSF ilivurugwa kile kipindi nchi iko mateka kwa miaka 6.

Nchi ilikua chini ya ukoloni ila safari hii ukiwa wa mtu mweusi.

Pesa zilikua zinachukuliwa bila utaratibu zinaenda kwenye miradi kwa kauli ya maagizo toka juu.

Sio ajabu wastaafu wengi ndani ya miaka hiyo walikaa miaka 3 kila siku wanapigwa kalenda na wengine kufariki bila kupata jasho lao.

Yule dikteta ana sababu nyingi za kuchukiwa.
Nchi ilikuwa utumwani babeli
 
Back
Top Bottom