NSSF Moshi wanyanyasa wateja

NSSF Moshi wanyanyasa wateja

Kyandaya

Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
53
Reaction score
9
Ni jambo la kushangaza sana kuona jinsi wadau wa shirika hili wanavyoteseka wanapofuatilia mafao yao.Hivi majuzi nilistaafu kwa mujibu wa sheria lakini kufuatilia mafao yangu ni ishu kali mpaka uje kupata id card ni dillema.

Wamechapa majina tofauti,ukiwafuata rudi baada ya siku 14.

Hebu sikieni kilio chetu wana forum mtupe mbinu mbadala ili tupate jasho yetu.
 
...Si umejibiwa usubiri siku 14! subiri hadi huo muda utakapofika, kisha fuata taratibu..

ikibidi muone meneja wao, atakusaidia...BORA NSSF kuliko MIFUKO yetu mingine...:glasses-nerdy:
 
...Si umejibiwa usubiri siku 14! subiri hadi huo muda utakapofika, kisha fuata taratibu..

ikibidi muone meneja wao, atakusaidia...BORA NSSF kuliko MIFUKO yetu mingine...:glasses-nerdy:

mkuu siku 14 zimeisha tarehe 30june.julai mosi nikabandikwa 14 tena.hii ni halali kweli?
 
hizo pesa ndo zinajenga maghorofa,subiria tu ndugu yangu watawakumbukeni maana mkishastaafu thamani yenu inashuka,ukifa kazini wanasema pengo lako halitazibika,wapi,
 
...Si umejibiwa usubiri siku 14! subiri hadi huo muda utakapofika, kisha fuata taratibu..

ikibidi muone meneja wao, atakusaidia...BORA NSSF kuliko MIFUKO yetu mingine...:glasses-nerdy:

Wewe unasemaje ETI BORA NSSF tena huyu mbwa nssf sitaki hata kumsikia nimshenzi anatesa sana wanachama wake mi mwenye hadi waleo hawajanilipa changu.subiri miezi sita baada ya hapo nendarudi nenda rundi mpk kiatu kinaisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom