Nssf mafao

Nssf mafao

machala

Member
Joined
Sep 22, 2024
Posts
15
Reaction score
18
Habari za mchana wadau samahani ningependa kujuzwa madai ya mafao ya nssf yakiandika approved claim status ina maana gani na je uwainachukua mda gani mdai kulipwa mafao yake maana claim Status tangu isome approved ni wiki sasa na akaunti inasoma amount 0.00 lakini bado sijalipwa shida inaweza kuwa nini . Ahsanteni
 
Habari za mchana wadau samahani ningependa kujuzwa madai ya mafao ya nssf yakiandika approved claim status ina maana gani na je uwainachukua mda gani mdai kulipwa mafao yake maana claim Status tangu isome approved ni wiki sasa na akaunti inasoma amount 0.00 lakini bado sijalipwa shida inaweza kuwa nini . Ahsanteni
Pole kwa changamoto,Pesa huwa zinaaingia kuanzia ndani ya mwezi toka tarehe ya kufungua madai, japo naimani kwenye fomu yako ya madai uliandikiwa muda ambao utatakiwa kurudi katika ofisi za NSSF endapo hela itakuwa haijaingia katika akaunti yako.Hivyo kuwa nasubira kidogo Mkuu
 
Habari za mchana wadau samahani ningependa kujuzwa madai ya mafao ya nssf yakiandika approved claim status ina maana gani na je uwainachukua mda gani mdai kulipwa mafao yake maana claim Status tangu isome approved ni wiki sasa na akaunti inasoma amount 0.00 lakini bado sijalipwa shida inaweza kuwa nini . Ahsanteni
Mkuu vipi ulifanikiwa? Na je ilichukua muda gani?
 
Back
Top Bottom