Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

Hongera sana. Kadiri unavyo invest kwa muda mrefu zaidi, ndivyo return inavyokuwa kubwa. Mimi tangu nianze ajira yangu ya kwanza mwaka 2015, niliazimia monthly kuweka zaidi ya asilimia 70 ya mshahara wangu UTT kwa sababu sikuwa na sina muda wa kusimamia biashara actively. Nikatumikia committment yangu kwa uaminifu mkubwa.

Kuna miezi nilikuwa nje ya ajira lakini sikutoa hela yangu UTT. Mwishoni wa mwaka 2023, nilikuwa na milioni 200 kwenye account yangu ya Liquid fund.

January 2024 nikatoa milioni 70 nikanunua kiwanja cha square meter 1900 bunju B chenye foundation ya ujenzi tayari.

Malengo yangu ifikapo mwaka 2030 niwe na hela isiyopungua milioni 700 kwenye account yangu ya UTT liquid + hela yangu ya nssf nitakuwa na kama milioni 800 hivi.

Then nimepanga baada ya hapo kutoa milioni 200 nijenge kwenye hicho kiwanja na hela inayobaki nahamishia mfuko wa bond ili niweze kupata mshahara wangu wa kila mwezi from UTT bila jasho. I want to retire at age 42. Tuendelee kufukuzia malengo mkuu...
Weka screenshot ya salio tuhakikishe. Nakuwekea screenshot yangu ya mwaka jana, sasa hivi nimeshaongeza sana mtaji. Na wewe weka yakwako tupate kuwa motivated.

Screenshot_20240315_162749_Gallery.jpg


malembeka18 Englishlady macho_mdiliko hata sasa hivi utt inawekeza kwa kuikopesha serikali. Hakuna namna serikali inaweza kuchota fedha huko.

Kuogopa hapa ni sawa na kusema serikali inaweza kuja kwenye akaunti yako ya benki na kuchukua hela.

Msimamizi wa utt ni crdb bank na kila mwaka kuna mkutano na ripoti ya ukaguzi inatolewa.
 
Hongera sana
Hongera sana. Kadiri unavyo invest kwa muda mrefu zaidi, ndivyo return inavyokuwa kubwa. Mimi tangu nianze ajira yangu ya kwanza mwaka 2015, niliazimia monthly kuweka zaidi ya asilimia 70 ya mshahara wangu UTT kwa sababu sikuwa na sina muda wa kusimamia biashara actively. Nikatumikia committment yangu kwa uaminifu mkubwa.

Kuna miezi nilikuwa nje ya ajira lakini sikutoa hela yangu UTT. Mwishoni wa mwaka 2023, nilikuwa na milioni 200 kwenye account yangu ya Liquid fund.

January 2024 nikatoa milioni 70 nikanunua kiwanja cha square meter 1900 bunju B chenye foundation ya ujenzi tayari.

Malengo yangu ifikapo mwaka 2030 niwe na hela isiyopungua milioni 700 kwenye account yangu ya UTT liquid + hela yangu ya nssf nitakuwa na kama milioni 800 hivi.

Then nimepanga baada ya hapo kutoa milioni 200 nijenge kwenye hicho kiwanja na hela inayobaki nahamishia mfuko wa bond ili niweze kupata mshahara wangu wa kila mwezi from UTT bila jasho. I want to retire at age 42. Tuendelee kufukuzia malengo mkuu...
Hongera sana, inaonekana upo kwenye kazi yenye mshahara mkubwa, mana kwa haraka haraka ni unasave 1.2M min kila mwez
 
Mkuu mwaka 2015 sikuanza na amount yoyote kubwa. Nakumbuka take home yangu ilikuwa around 900,000 kwa mwezi. Kila mwezi nilijitahidi sana kuweka UTT kati ya 600,000 mpaka 700,000 kila mwezi. Tangu mwaka 2015 hadi sasa nimeshafanya kazi kwenye taasisi tatu tofauti na mshahara umekuwa ukiongezeka kulingana na uzoefu. Mshahara ukiongezeka na deposit yangu to UTT naongeza pia. Discipline ya frugality/ubahili kwa kiasi flani ilinisaidia sana...
Hongera sana
 
Hongera sana

Hongera sana, inaonekana upo kwenye kazi yenye mshahara mkubwa, mana kwa haraka haraka ni unasave 1.2M min kila mwez
Nilianza na mshahara wa kawaida sana. Consistency ilinijengea misuli ya kusave nikawa addicted kusave na ku invest. Kwa sasa mshahara wangu una
 
Weka screenshot ya salio tuhakikishe. Nakuwekea screenshot yangu ya mwaka jana, sasa hivi nimeshaongeza sana mtaji. Na wewe weka yakwako tupate kuwa motivated.

View attachment 2935444

malembeka18 Englishlady macho_mdiliko hata sasa hivi utt inawekeza kwa kuikopesha serikali. Hakuna namna serikali inaweza kuchota fedha huko.

Kuogopa hapa ni sawa na kusema serikali inaweza kuja kwenye akaunti yako ya benki na kuchukua hela.

Msimamizi wa utt ni crdb bank na kila mwaka kuna mkutano na ripoti ya ukaguzi inatolewa.
Mbona Sasa mifuko kama nnsf,nhif pesa za wanachama wameikopesha serikali na serikali haijawalipa na wanachama mabaki kuhangaika tu
 
POTELEA MBALI.

mwaka 2022 niliagiza mzigo wangu wa nguo china million 60 nikapata faida ya million 40. Jumla ikawa 100.

Now namiliki heka elf 6 mkuranga nalima ufuta na nyingine zinaendelea kujizungusha huko kariakoo.

Mwakani naoa, Nina mpango nikifika miaka 35 niwe nakula mafao ya million 30 kila mwezi na mpango wa utt amis Sina kabisa

Cc. Moderator
Mkuu nguo Gani unauza zakukupa faida ya m40
 
Mkuu dhamira yako hasa ni nini?

Ushasema wewe huwezi kuweka feza zako huko na ukaeleweka sasa mbona kama unatengeneza chain ndefu ambayo haina maana yoyote?

Kwahiyo pia akitokea mtu akakushauri ukaweke Feza zako Bank katika Fixed Account, napo utataka uanze kujua ni manager gani alianzisha Fixed ACC, walikaaa kikao lini, wangapi wakakubali na wangapi wakakataa na walitumia vifungu gani vya katiba Yao?

Yani BOT kuweka mfumo wa kusaidia Wanachi katika uwekezekaji wa mitaji ni hadi Bunge likae,ujue kama lilianzia wizarani au kwa mtu binafsi umalizie na vifungu vya Sheria

Unauliza Mambo mengi ilimradi tu wewe uonekane wa tofauti sana, uonekane una Akili sana kuliko wanaoweka pesa zao, uonekane Mjanja sana, uonekane unajua sana sheria

Vile Unahoji kuhusu Bank kuu ya Tanzania as if ni Saccos/vikoba/Vikundi vya kina Mama mtaani kwenu, ushasema hutaki we acha wafanye wenye uhitaji usilete ujuaji mwingi ilhali hauna maana yoyote

Au uliwahi kuskia mtu katapeliwa huko kwenye UTT ili utujuze ilikuwaje mkuu?
Nimeipenda hii
 
Hiyo hela unanunua kichwa Cha Scania matata.
Kwenye huu uzi kuna makundi ma3
1. Wenye ya hela (japo ya kudunduliza)lakini hawana nafasi na muda kufanya biashara hasa waajiriwa
2. Wenye hela na wenye nafasi ya kufanya na kusimamia (wajasiriamali)
3. Wasio na hela lakini wana muda

Mawazo yanagongana kwa sababu kila mtu kasimama kwenye angle yake

Fikiria mfanyakazi wa benki anaeingia kazini saa 1 asb na kutoka saa 2 usk hicho kichwa cha scania anaenda kukifanyia nini na kwa muda upi

So upo sahihi lkn kutokea upande ulikosimama
 
Mkuu mwaka 2015 sikuanza na amount yoyote kubwa. Nakumbuka take home yangu ilikuwa around 900,000 kwa mwezi. Kila mwezi nilijitahidi sana kuweka UTT kati ya 600,000 mpaka 700,000 kila mwezi. Tangu mwaka 2015 hadi sasa nimeshafanya kazi kwenye taasisi tatu tofauti na mshahara umekuwa ukiongezeka kulingana na uzoefu. Mshahara ukiongezeka na deposit yangu to UTT naongeza pia. Discipline ya frugality/ubahili kwa kiasi flani ilinisaidia sana...
Big up sana

Ulipata exposure mapema sana

Na una akili sana na una discipline kubwa sana
 
Mbona Sasa mifuko kama nnsf,nhif pesa za wanachama wameikopesha serikali na serikali haijawalipa na wanachama mabaki kuhangaika tu
Hamna kitu kama hicho. Wanaozungushwa ni wale wa psssf ambao walikuwa wafanyakazi wa serikali. Iko hivi, serikali inapaswa kupeleka michango ya wafanyakazi wake kila mwezi. Sasa kinachotokea ni kwamba haipeleki.

Ikifika muda mfanyakazi anastaafu ndio wanaanza kutafuta hela ziingizwe kule ndio alipwe. Hivihivi wanafanya kwa nhif. Sasa haya wala hayatokei kwa watu wanaofanya kazi sekta binafsi kwasababu michango yao inapelekwa nssf.

Serikali haiwezi kuzichukua huko labda kama nssf wenyewe waikopeshe serikali kwa kununua bonds. Hizi lazima zilipwe zikishaiva. Hakuna serikali duniani inayodefault kwenye bonds kwasababu ni sawa na kusema imefilisika.

Besides, mara nyingi mafao yanacheleweshwa kwa urasimu wa watu na sio kwamba hela hazipo. Mimi wazazi wangu wote wamestaafu kutokea serikalini na walilipwa hela zao ndani ya miezi sita.
 
Back
Top Bottom