excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
hahahaaaa!!! siamini..!aliekutonya kakudanganya mbele sichezi nyuma sitingishiki
nioneshe kwa picha!
hahahaaaa!!! siamini..!aliekutonya kakudanganya mbele sichezi nyuma sitingishiki
binafsi, nimekumiss!Mademu ndo kina nani?
Sio kitaadhibu matumizi sahihi ya lugha ni kitawaadhibu
binafsi, nimekumiss!
sijui nikwambieje hapo kwa vitendo?
Matumizi sahihi ya lugha sio aliekutonya bali ni aliyekutonya .aliekutonya kakudanganya mbele sichezi nyuma sitingishiki
miss you mamii!Mpaka hii likizo ya easter ipite,tutayaona mengi!
hivi bado upogo?Katika matumizi ya lugha hakuna neno nikwambieje bali ni nikwambiaje .
hivi bado upogo?
mi nilijua umepotelea kwenye ndege ya malaysia bana!
karibu tena malikia wa nyuki!
Dah kiswahili tatizo bado sio malikia bali ni malkia , utajifunza kuandika vizuri hili ni darasa huru .
haya mamii, tumia vitenzi vikurupushi basi..!
mi nilijua wewe ni mwanamke!!!! ebana eenh, ungechelewa tu ningekugegeda kwa lazima dadeki..Mhh ww matumizi ya neno mamii kwa mwanaume inatia shaka
sio madem wapenda hera ni madem wapenda hela