Nouma xana??

Nouma xana??

Ww wko miaka mingap maana unarukia tu issue sio yko n, mm namwambia yy matumizi ya xana badala ya sana

hili janga linaenda linakua kwa kasi ya ajabu sana. maana kuna wakati huwaunafika nawaza Mungu aangamize kizazi hicho hata kwa kuwanyofoa vidole vyao. shwaaain kabisa.
 
Back
Top Bottom