Franklinyo
Member
- Mar 22, 2014
- 46
- 1
Ni kweli bila pesa mademu wazuri utaishia kuwaita shemeji??
sio mademu wazuri. ni madem wapenda hera
sio madem wapenda hera ni madem wapenda hela
Ni kweli bila pesa mademu wazuri utaishia kuwaita shemeji??
shida peleka kwenu. KUZALIWA KTK FAMILIA MASIKINI NI MIPANGO YA MUNGU.KUOLEWA/KUOA MAXKINI NI UJINGA WAKO. KUFA MAXKINI NI UPUMBAVU WENU.
Munkari ni Mkurya sio mkulya.........ha ha mkulya huyo!!
Nouma xana uandishi huo ww umri wko ni miaka 17 maliza kusoma wanawake wa nn ww ?
Ni kweli bila pesa mademu wazuri utaishia kuwaita shemeji??
na wewe kwa huu uandishi utakuwa na umri gani!!!!!
Ww wko miaka mingap maana unarukia tu issue sio yko n, mm namwambia yy matumizi ya xana badala ya sana