Notes: Udini wa ukatoliki na ulutherani tunauona

Notes: Udini wa ukatoliki na ulutherani tunauona

MAKATA WAHI

Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
12
Reaction score
1
Udini utaleta matabaka katika nchi hii angaika angaika ya Dr Slaa ni ukatoliki wala sio jengine tuliona 2010 Dr Slaa akipata nguvu kutokana na ukatoliki sasa Leo anakuja na kumsema sana Lowassa kwa kumwambia fisadi alituambia ana list of shame kama kumi na moja haya sasa umesema mmoja mbona uendelei na wengine hatujui dhumuni lako ufisadi au ukatoliki. Je wale wengine waislam wakianza kufanya Yao wataona kuwa huyu jamaa 2010 walimsumbua ndugu Yao kwenye uchaguzi mkuu mpaka prof lipumba kusema hadharani achaguliwe kikwete je waislam tuwaambie wasiwachague maadui wao wampe hasiye ukatoliki. Tuwe na siasa za usawa sio za udini
 
Tuangalie nchi kwenye mtazamo wa umoja na kushirikiana sio kugawana kwenye matabaka
 
Kweli kabisa..hatuchagui dini bali raisi..Lowassa ni mpango wa Mungu
 
Mambo ya udini na ukabila yanapandikizwa na chama fulani kisichojitambua kwa kutumia makasuku
 
hatamfanyeje huyo lowasa hatumchagui,mnatafuta kura za waislam kiboya,kajpangeni.
 
hoja ya dr. slaa udini haupo. kinachomuumiza ni kukosa nafasi ya kugombea urais basiiii...mtoa mada unapotosha.
 
hoja ya dr. slaa udini haupo. kinachomuumiza ni kukosa nafasi ya kugombea urais basiiii...mtoa mada unapotosha.

Dr Love Pimbi katika ubora wake.Teh teh teh.Dr Futari kweli alipania game.
 
Udini utaleta matabaka katika nchi hii angaika angaika ya Dr Slaa ni ukatoliki wala sio jengine tuliona 2010 Dr Slaa akipata nguvu kutokana na ukatoliki sasa Leo anakuja na kumsema sana Lowassa kwa kumwambia fisadi alituambia ana list of shame kama kumi na moja haya sasa umesema mmoja mbona uendelei na wengine hatujui dhumuni lako ufisadi au ukatoliki. Je wale wengine waislam wakianza kufanya Yao wataona kuwa huyu jamaa 2010 walimsumbua ndugu Yao kwenye uchaguzi mkuu mpaka prof lipumba kusema hadharani achaguliwe kikwete je waislam tuwaambie wasiwachague maadui wao wampe hasiye ukatoliki. Tuwe na siasa za usawa sio za udini

Mimi ni mfuasi wa Lowassa lakini hoja yako siungi mkono. Imekalia kiccm ccm na kiudini udini hivi. Nafikiri lengo lako ni kuruga watu. Usituletee udini hapa ni mabadiko na kwenda mbele tu katu haturudi nyuma.
 
Fisadi pApa halina Dini ..hivi unaezaje kusema hadharani atawaachia walawiti.,.hvi watoto 15 wenye miaka kati 7 na 14 wanaenda kudanganya,oneni Aibu kdogo mak... Nyie
 
Back
Top Bottom