trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Technology....
Hii kauli inarudiwa mara kwa mara na luninga ya Emmanuel TV. Huwa inaelezea jinsi Africa ilivyo na utajiri wa asili,tofauti na Ulaya na Amerika. Lakini nchi za ki-Afrika huuza maliasili zao kwa nchi zilizoendelea na kulipwa fedha za kigeni..
Yeye anashauri nchi za ki-Afrika kutouza maliasili kwa kupata fedha za kigeni,bali kubadilisha maliasili zetu kwa kujipatia teknolojia muhimu na husika kwa mahitaji na vipaumbele vya nchi yetu..!
Je,ma-great thinkers hili mnalitazamaje?
Hii kauli inarudiwa mara kwa mara na luninga ya Emmanuel TV. Huwa inaelezea jinsi Africa ilivyo na utajiri wa asili,tofauti na Ulaya na Amerika. Lakini nchi za ki-Afrika huuza maliasili zao kwa nchi zilizoendelea na kulipwa fedha za kigeni..
Yeye anashauri nchi za ki-Afrika kutouza maliasili kwa kupata fedha za kigeni,bali kubadilisha maliasili zetu kwa kujipatia teknolojia muhimu na husika kwa mahitaji na vipaumbele vya nchi yetu..!
Je,ma-great thinkers hili mnalitazamaje?