Mungu "hasikilizagi" kilio cha watu wasiozidi hata laki.Ila kulia wacha tulie hadi Mungu asikie Kilio chetu naamini atambadilisha roho ya ugumu bwana yule... Amin
Hata ukijipendekeza vipi ikifika zamu yako anakuchondoa tu... na wewe utaunga tela kwenye campHe is my President, He is our president and He is your president utake usitake na ndio vilivyo unaona visivyoonekana na unasikia visivyosikika
Hata ukijipendekeza vipi ikifika zamu yako anakuchondoa tu... na wewe utaunga tela kwenye camp