Not allocated for the first batch

Not allocated for the first batch

Million dollars

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,508
Reaction score
2,070
Habari njema kwa wote tulioandikiwa Hiyo ile link kwanza ime expire ni ya kitambo since October 16 ..kwahyo habari njema ni kwamba link mpya ipo njianii inakuja wote tutapata mkopo.sasa tukipata jamani itabidi. Mni pm kuna kaparty tutafanya mjini hapa cha kuvunja kamati ya TCU na HESLB
 
Jidanganyeni tu mtakuja kulia yaaani ndo maana mnanyimwa mkopo sasa Party ya nn wakati hamjui hatma mnaendeshwa kwa lonja za kudanganyana tu nyie watoto tangu lini link ika expire jamani yaaani mmekamia kufanyia ujinga hela
 
Jidanganyeni tu mtakuja kulia yaaani ndo maana mnanyimwa mkopo sasa Party ya nn wakati hamjui hatma mnaendeshwa kwa lonja za kudanganyana tu nyie watoto tangu lini link ika expire jamani yaaani mmekamia kufanyia ujinga hela
Hahahaha acha roho mbaya wewe! Kwa akili yako hela yote nitanunulia vitabu na kulipia ada? Kwani party ni matumizi mabaya ? Hivi unajua hata maana ya party? Wewe ungekuwa Rais hakuna ambaye angepata mkopo
 
Jidanganyeni tu mtakuja kulia yaaani ndo maana mnanyimwa mkopo sasa Party ya nn wakati hamjui hatma mnaendeshwa kwa lonja za kudanganyana tu nyie watoto tangu lini link ika expire jamani yaaani mmekamia kufanyia ujinga hela
Kumbe mpo wengi eeh endeleeni kubana balls mkopo usitoke
 
Habari njema kwa wote tulioandikiwa Hiyo ile link kwanza ime expire ni ya kitambo since October 16 ..kwahyo habari njema ni kwamba link mpya ipo njianii inakuja wote tutapata mkopo.sasa tukipata jamani itabidi. Mni pm kuna kaparty tutafanya mjini hapa cha kuvunja kamati ya TCU na HESLB
 
lkn ulieanzsha thread,,sa ile habar iliyotolewa na heslb kua wamemaliza mchakato wote na majina ni 20000 tu walobaatika,,,ishakua batili au
 
Sijawa rais na mbona hamjapata wenzenu tunabunya TU mihela ya JK
 
Kama MTU unajijua hujapata mkopo mpk sasa hesabu maumivu na kama ulidanganya taarifa kiama kinakuja madogo hakuna batch nyingine aiseee wamemaliza rasmi kutoa majina na mkurugenzi mkuu bwana badru amethibitish hilo Leo kwa hiyo hapo kama MTU alikuwa anasubiri miujiza itatendeka jua mashindano yamefungwa
 
Kama MTU unajijua hujapata mkopo mpk sasa hesabu maumivu na kama ulidanganya taarifa kiama kinakuja madogo hakuna batch nyingine aiseee wamemaliza rasmi kutoa majina na mkurugenzi mkuu bwana badru amethibitish hilo Leo kwa hiyo hapo kama MTU alikuwa anasubiri miujiza itatendeka jua mashindano yamefungwa
Majina yametumwa vyuoni na imekuwa siri hayawekwi tena hadharani kuogopa wafukunyuku.
 
najuta kumaliza form 6 yaan daah ....ixhakula hii not allocated ad lini ....dom awaxajili bila kukamilixha payments
 
Kama MTU unajijua hujapata mkopo mpk sasa hesabu maumivu na kama ulidanganya taarifa kiama kinakuja madogo hakuna batch nyingine aiseee wamemaliza rasmi kutoa majina na mkurugenzi mkuu bwana badru amethibitish hilo Leo kwa hiyo hapo kama MTU alikuwa anasubiri miujiza itatendeka jua mashindano yamefungwa

Yan kusoma kote shule za Kata na kung'atwa na mbu lakn wap.
Nmepigwa za kichwa kudadek.
Tupe ata moyo bac
Kujilipua kunakuja
 
Back
Top Bottom