The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Nchi ya Norway imesema imeguswa na kuzorota kwa haki za binadamu nchini Tanzania.
Kwa tusiofahamu, nchi ya Norway ndio hutoa msaada mkubwa wa kifedha kwa Tanzania kuliko nchi yoyote Duniani, sio hata wachina tunaosema ni rafiki zetu. Kwa miaka zaidi ya 60 Norway imekua ndiyo nchi inayoisaidia Tanzania kwa sehemu kubwa na wamekua partners wetu kwa miaka zaidi ya 60 kupitia Norad agency.
Kufahamu zaidi, nchi za Nordic kama Norway, Denmark, Finland ndizo nchi pekee ambazo zimekua na sisi katika hali zote kwa misaada. Miradi mingi ya umeme na maji nchi hii imefadhiliwa na Nordic countries bure kabisa.
Miaka ya 80 wakati Benki ya Dunia imemuwekea vikwazo Mwalimu Nyerere, nchi pekee ambazo zilikua zinatusaidia ni Nordic countries.
Sijui tumekosea wapi sasa kuwaudhi hata marafiki zetu wa kweli na sasa tunadhani wanafiki wachina ndio marafiki kisa tu walijenga TAZARA na kiwanda cha Urafiki ambacho kimekufa na kwakua hawatuulizi kuhusu haki za binadamu hata ukiua watu 800 hawakuulizi basi tunadhani ndio wazuri. Yaani watu ambao ukifanya uovu dhidi ya binadamu wenzako hawakuulizi na wanakupa hela ndio tunaona wazuri.
Sijui tunakosea wapi. Kwa kweli bado hatujakua na uwezo na nguvu ya kutunishiana misuli na hawa watu. Tuangalie yasije kutukuta ya Zimbabwe.
=====
POSTED BY: VICTORIA GARZA 10. AUGUST 2019
Norway is concerned about human rights in Tanzania
Norway is concerned about the human rights situation in Tanzania, which over the past 50 years has received more Norwegian assistance than any other country.
“We are concerned about the development of the human rights situation in Tanzania, including for the freedom of the press,” State Secretary Marianne Hagen (H) tells Bistandsaktuelt.
In 2018, the assistance amounted to almost NOK 400 million, and more than 40 per cent of this went through the country’s authorities.
Last week, one of the country’s leading journalists, Erick Kabendera, was arrested, charged with organized crime, money laundering and tax evasion. He works for the British Guardian and Economist, among others.
“On Thursday, another critical research journalist was arrested, and the Norwegian Foreign Ministry is following this development with concern,” Hagen informs.
“Human rights are on the agenda in the regular political consultations between Norway and Tanzania, taken up in political meetings and followed up by the embassy in Dar es Salaam,” she continues.
“We will also scale up support for independent human rights organizations. This is important for promoting democracy and human rights,” Hagen concludes.
Kwa tusiofahamu, nchi ya Norway ndio hutoa msaada mkubwa wa kifedha kwa Tanzania kuliko nchi yoyote Duniani, sio hata wachina tunaosema ni rafiki zetu. Kwa miaka zaidi ya 60 Norway imekua ndiyo nchi inayoisaidia Tanzania kwa sehemu kubwa na wamekua partners wetu kwa miaka zaidi ya 60 kupitia Norad agency.
Kufahamu zaidi, nchi za Nordic kama Norway, Denmark, Finland ndizo nchi pekee ambazo zimekua na sisi katika hali zote kwa misaada. Miradi mingi ya umeme na maji nchi hii imefadhiliwa na Nordic countries bure kabisa.
Miaka ya 80 wakati Benki ya Dunia imemuwekea vikwazo Mwalimu Nyerere, nchi pekee ambazo zilikua zinatusaidia ni Nordic countries.
Sijui tumekosea wapi sasa kuwaudhi hata marafiki zetu wa kweli na sasa tunadhani wanafiki wachina ndio marafiki kisa tu walijenga TAZARA na kiwanda cha Urafiki ambacho kimekufa na kwakua hawatuulizi kuhusu haki za binadamu hata ukiua watu 800 hawakuulizi basi tunadhani ndio wazuri. Yaani watu ambao ukifanya uovu dhidi ya binadamu wenzako hawakuulizi na wanakupa hela ndio tunaona wazuri.
Sijui tunakosea wapi. Kwa kweli bado hatujakua na uwezo na nguvu ya kutunishiana misuli na hawa watu. Tuangalie yasije kutukuta ya Zimbabwe.
=====
POSTED BY: VICTORIA GARZA 10. AUGUST 2019
Norway is concerned about human rights in Tanzania
Norway is concerned about the human rights situation in Tanzania, which over the past 50 years has received more Norwegian assistance than any other country.
“We are concerned about the development of the human rights situation in Tanzania, including for the freedom of the press,” State Secretary Marianne Hagen (H) tells Bistandsaktuelt.
Tanzania became a main Norwegian partner country in the 1960s and has since received close to NOK 19 billion in aid from Norway, according to an overview from Norad.In 2018, the assistance amounted to almost NOK 400 million, and more than 40 per cent of this went through the country’s authorities.
Last week, one of the country’s leading journalists, Erick Kabendera, was arrested, charged with organized crime, money laundering and tax evasion. He works for the British Guardian and Economist, among others.
“On Thursday, another critical research journalist was arrested, and the Norwegian Foreign Ministry is following this development with concern,” Hagen informs.
“Human rights are on the agenda in the regular political consultations between Norway and Tanzania, taken up in political meetings and followed up by the embassy in Dar es Salaam,” she continues.
“We will also scale up support for independent human rights organizations. This is important for promoting democracy and human rights,” Hagen concludes.
Norway is concerned about developments in Tanzania - Norway Today
Tanzania Human Rights Aid Partner Country Travel Norway Norway is concerned about developments in Tanzania Norway Today
norwaytoday.info