Clinton Manangwa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 214
- 225
Hata hizi za sacrament kanisani zina kilevi.Habari,
Wana jamvi hivi nikweli kuna mvinyo (wine)ambazo hazina kilevi kabisa kama unazijua zitaje.Maana kuna mtu aliniambia zipo nikamgomea Ahsanteni.
Sasa wine bila alcohol si sawa kunywa maji yenye sukari .
Hata hizi za sacrament kanisani zina kilevi.
Labda champagne
Namna hiyo.Kweli ndiyo maana wanachanganya na maji kidogo
Namna hiyo.
Kuna kipindi nikiwa chuo, tukamix nyingine ikabakaki. Hehehhe si tukaipiga kule ofisini, nililewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dunia ina mengi, yawezekana zipo ila wine isiyo na kilevi si itakuwa juice ya zabibu [emoji16]
Nimeingia google, zipo mkuuKabisa labda zipo ila nilimgomea jamaa hiyo kitu
Altar Wine 18% Alcohol ๐Hata hizi za sacrament kanisani zina kilevi.
Labda champagne
Ulipo lewa, ukawa Chakula yao!Namna hiyo.
Kuna kipindi nikiwa chuo, tukamix nyingine ikabakaki. Hehehhe si tukaipiga kule ofisini, nililewa๐๐๐๐
Furuto sijui fruto ๐ kinywaji changu cha utotoni kijijini.Sasa wine bila alcohol si sawa kunywa maji yenye sukari .
Wanasemaga eti haina kilevi. Kudadeki maliza hiyo chupa kama hujaanza kuyumbaAltar Wine 18% Alcohol ๐View attachment 2895281
Hii inafukuzana na DompoWanasemaga eti haina kilevi. Kudadeki maliza hiyo chupa kama hujaanza kuyumba