Yetu Sote
Member
- Jan 23, 2013
- 54
- 9
Ndugu Mwenyekiti CCM taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Jakaya M Kikwete salaam sana.
Napenda kuchukua nafasi hii kukushukuru wewe binafsi pamoja safu nzima ya uongozi iliyochini yako kwa maamuzi sahihi mliyoyachukua na kupelekea kupatikana Tatu Bora(Magufuli,Amina na Migiro),kwa hili nasema asante na kwa niaba ya wajukuu zangu watarajiwa ninakushukuru.
Sijutii tena uamuzi wangu wa kukushabikia na kukupigia kura mwaka 2005.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
Napenda kuchukua nafasi hii kukushukuru wewe binafsi pamoja safu nzima ya uongozi iliyochini yako kwa maamuzi sahihi mliyoyachukua na kupelekea kupatikana Tatu Bora(Magufuli,Amina na Migiro),kwa hili nasema asante na kwa niaba ya wajukuu zangu watarajiwa ninakushukuru.
Sijutii tena uamuzi wangu wa kukushabikia na kukupigia kura mwaka 2005.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!