Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Katika muendelezo wa kuimaliza Huawei sokoni, kampuni kubwa ya teknolojia ya Nokia imedai 55% ya vifaa vya Huawei vinadukuliwa kirahisi na hivyo haviaminiki.
Katoka mgogoro wa Marekani na Huawei mojawapo ya tuhuma ambazo bwana tarrif man Trup amasema ni kua vifaa vya huawei vinaweza kudukuliwa na serikali ya China hivyo kuharibu usalama wa nchi.
Soma hapa chini.
Katoka mgogoro wa Marekani na Huawei mojawapo ya tuhuma ambazo bwana tarrif man Trup amasema ni kua vifaa vya huawei vinaweza kudukuliwa na serikali ya China hivyo kuharibu usalama wa nchi.
Soma hapa chini.
Nokia's CTO Slams Huawei After 'Potential Backdoors' Found In 55% Of Its Devices
Nokia's CTO has slammed Huawei's "serious security failings" after new analysis has reported that Huawei poses a quantitatively higher security risk than its rivals.
www.forbes.com