Nokia yaishushia tuhuma nzito Huawei, yadai 55% ya vifaa vya huawei vinadukuliwa kirahisi.

Hivyo vifaa kwa kiasi kikubwa ni kutoka USA na UK ndio watengenezaji wa patents.
Nadhan hapa wanaongelea vifaa vya mawasiliano(telecom equipments, bts, MW dishes) vinavyofungwa kwenye minara ya simu( Telecom towers) ambapo vendors wakubwa duniani Kwa Sasa ni Nokia, Huawei na Ericsson. CTO wa Nokia anadai kuwa telecom equipments za Nokia Ni bora na si rahisi kudukuliwa kama za Huawei. Hawazungumzii simu ambazo nying zao OS zao huwa Ni android au iOS
 
Hahaha yaani ile kampuni ndio imeisha failed kabisa. .nashangaa sijui wanatoa wapi nguvu za kuiponda kampuni kubwa kama Huawei. ...hawaoni hata aibu
Niliwahi nunua Nokia Lumia 530 daah sitakuja sahau ile pesa aisee nilichoma 230K hata dream league sikucheza
Jamaa wapumbavu sana wale app store yao kuingia tu ni kwa kubahatisha halafu magemu yao yale ya Kilobytes aisee

Ndomana na sema ni mara elfu aongee hata Xiomi au Oppo ila sio hao vichaa maana nikikumbuka ile phone sina hamu mkuu.

Nilichosalia nacho ni chaja na earphone mpk sasa ziko gud since 2015 ila phone niliuza bei ya bure tu.
 
Huawei ndani ya siku 85 imeuza simu million 10 aina ya P 30 series ukilinganisha na mauzo ya P 20 mara baada ya kuzinduliwa.Ikumbukwe pia Huawei imezindua simu zake aina ya Nova 5 na 5i ambazo nazo ni bomba huku mate X foldable ikiwa kwenye maandalizi ya kuzinduliwa huku Samsung akiihofia.

Yetu macho na masikio.

Naona chuki inaanzia hapo.
Daaaaah kwa moto waliouwasha leo hii sijui ingekuaje
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom