Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,704
- 39,778
actual sio rahisi kivileeee ni dola 249 around laki 4 za kitanzania kwa sasa itakua ndo simu rahisi zaidi ya windows 8 (huawei wao wanakuja na simu ya chini ya dola 200).
Ina vitu exclusive apps sawa na lumia 920 kama city lens, cinemagraph, point to shoot, lens apps na maps
camera itakua 5mp na screen ni 3.8 inch ina wvga (800x480) na phone memory ni 8gb na pia itasupport memory card ya 64 gb so memory kwa ujumla ni gb 74
processor ni dual core 1ghz na ram ni 512 mb inasuport hd ya 720 kwenye kuchukua video
kwenye battery ipo vizuri talking hour hadi masaa 14 kwa edge na masaa 9 kwenye 3g.
My opinion hii ndio simu bora na rahisi ya nokia lumia kama ulikua na mpango wa kununa lumia za wp 7.5 usinunue subiria hii simu itapatikana januari
Ina vitu exclusive apps sawa na lumia 920 kama city lens, cinemagraph, point to shoot, lens apps na maps
camera itakua 5mp na screen ni 3.8 inch ina wvga (800x480) na phone memory ni 8gb na pia itasupport memory card ya 64 gb so memory kwa ujumla ni gb 74
processor ni dual core 1ghz na ram ni 512 mb inasuport hd ya 720 kwenye kuchukua video
kwenye battery ipo vizuri talking hour hadi masaa 14 kwa edge na masaa 9 kwenye 3g.
My opinion hii ndio simu bora na rahisi ya nokia lumia kama ulikua na mpango wa kununa lumia za wp 7.5 usinunue subiria hii simu itapatikana januari