Kwa wale watumiaji wa Nokia Android phones, hii hapa plan ya kupata updates za Android Pie (9).
Kama upo kwenye list ya below 29th Jan... Kindly check you updates and update accordingly. View attachment 1007675
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sana chief... Mimi NK 8 ishapata pie piaTayari Nokia 5 imeshapata Android Pie hapa Tanzania.Kama unayo hakikisha unaweka Pie,mimi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana kiongozi.Hii ndio raha ya Nokia.Hakuna kampuni kujivunie Pie kama sehemu ya usasa wa simu zake na mauzo.Nokia tunatusua tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahha kwa hili wametisha aisee, afu wanakupiga na google security patch very most current yaani sasa ivi zipo hadi January, 2019.Hongera sana kiongozi.Hii ndio raha ya Nokia.Hakuna kampuni kujivunie Pie kama sehemu ya usasa wa simu zake na mauzo.Nokia tunatusua tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahha kwa hili wametisha aisee, afu wanakupiga na google security patch very most current yaani sasa ivi zipo hadi January, 2019.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah yaani hatari tupu. I enjoy kwa kweli hakuna magumashi aisee.... Kwa hali wanahitaji pongezi za hali ya juu.
Galaxy nilizikimbia baada ya kuwa wanacheleweaha updates na wakiamuan simu flan hazipati tena updates... Nokia mpango sana aisee, wanachukua tuzo tu sasa hivi kwa kuwa na mid range smartphones bora na imara. Fuatilia rumours za Nokia 9 pure view.Nilikuwa natumia Grand prime plus.Tangu nihamie Nokia,nimeshawishika kubaki huku huku.Sina uhakika kama nitarudi tena Samsung galaxy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa simu za Nokia kuchukua tuzo kwa sasa asahau, maana simu nyingi tayari zinatumia hii stock rom "Android one" labda aongeze idadi wa wateja tu.Galaxy nilizikimbia baada ya kuwa wanacheleweaha updates na wakiamuan simu flan hazipati tena updates... Nokia mpango sana aisee, wanachukua tuzo tu sasa hivi kwa kuwa na mid range smartphones bora na imara. Fuatilia rumours za Nokia 9 pure view.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nokia alikuja kuteka soko la chini... Hana high end devices alijitihadi kwa Nokia 8 Sirroco na may be kwa Nokia 9.Kwa simu za Nokia kuchukua tuzo kwa sasa asahau, maana simu nyingi tayari zinatumia hii stock rom "Android one" labda aongeze idadi wa wateja tu.
Tangu Nokia ichukuliwe na Wachina wame improve sana, ila ajitahidi kutoa mid range za bei nafuu, awapiku Xiaomi, Oppo na Samsung, maana naona bei bado zipo juu kwenye mid range zao.Nokia alikuja kuteka soko la chini... Hana high end devices alijitihadi kwa Nokia 8 Sirroco na may be kwa Nokia 9.View attachment 1009711
Sent using Jamii Forums mobile app
Nokia haijachukuliwa na wachina, HMD ni kampuni ya Finland na majority ya wafanyakazi wake ni wafinland, Hata HQ yao ilikuwa inapakana na jengo la Nokia.Tangu Nokia ichukuliwe na Wachina wame improve sana, ila ajitahidi kutoa mid range za bei nafuu, awapiku Xiaomi, Oppo na Samsung, maana naona bei bado zipo juu kwenye mid range zao.
Nakusalimu Chief... Happy new yearNokia haijachukuliwa na wachina, HMD ni kampuni ya Finland na majority ya wafanyakazi wake ni wafinland, Hata HQ yao ilikuwa inapakana na jengo la Nokia.
Na hizi simu zao za Notch japo sizipendi ila nazo hazina utofauti wa bei na hizo xiaomi, mfano Nokia X7 nimeona jamaa alileta link ya aliexpress humu inauzwa around dola 250 simu yenye sd 710 na simu ya xiaomi yenye same soc kama mi 8 se inauzwa bei kama hio ama ghali kidogo.
Hata ukiangalia Nokia x6 yenye sd636 nayo utofauti wake wa bei na redmi note6 aliexpress ni kama dola 10.
Na ukiangalia x5 ni rahisi zaidi.
Simu za Nokia ambazo bei ipo juu ni zile ambazo ni classic kama Nokia 6.1, 7 plus ambazo sana zina aim katika premium market.
Wewe pia mkuu.
Pamoja sana and thanks for your additives and nice clarifications hapo juu.Wewe pia mkuu.
Galaxy nilizikimbia baada ya kuwa wanacheleweaha updates na wakiamuan simu flan hazipati tena updates... Nokia mpango sana aisee, wanachukua tuzo tu sasa hivi kwa kuwa na mid range smartphones bora na imara. Fuatilia rumours za Nokia 9 pure view.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa simu za Nokia kuchukua tuzo kwa sasa asahau, maana simu nyingi tayari zinatumia hii stock rom "Android one" labda aongeze idadi wa wateja tu.
Nokia alikuja kuteka soko la chini... Hana high end devices alijitihadi kwa Nokia 8 Sirroco na may be kwa Nokia 9.View attachment 1009711
Sent using Jamii Forums mobile app