Nokia Lumia-920 inauzwa hapa

Nokia Lumia-920 inauzwa hapa

Pionaire

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
1,595
Reaction score
1,135
Habari wana JF!..Simu ya NOKIA LUMIA-920 inauzwa,Ina rangi nyeusi,haina michubuko,imetumika kwa miezi mitatu na ipo kwenye hali nzuri,Ina OS ya Windows phone 8.1,internal memory yake ni 32GB...kwa ujumla ipo vizuri haina tatizo kabisa,bei laki 420000/=,kwa atakayeitaji tuwasiliane kwa "0712269097"...Asanteni
altAhUIFusHVYwZpqhxdrL-ds1GUdJ3mTk79_d_s5gD41_c.jpg altAhVmnmP96NbpXE_7yPiPRwfDIcfskJ46sKPihZrbhsBE.jpg altAkgM_5qbEs_VtjNsIeh11mluqu_Hdk1QPKCtYnUszqkJ.jpg altAl6EMVLTyAOQZybBZHEFalKaPLilFfL9AUKvzcPw4bqU.jpg altAlSI2vMu-nQpWfjJKuj-5C232eGFrbSwYdK6j64x9hZ4.jpg altAnub3MVzMxzTrqdz_2FkSSKeGWasZZNHob5-kDFgjmD-.jpg altAqlBbVNcGdmk6dggbSsHm13r1xAZepu11ne_n9SacrM7.jpg altAqZUCcqtBiE4LSN19RUxWmfdtjcLCqkkcwMiFrF-C8XI.jpg altAsR_30eoR-bCD1GpwZvu7gY3pg8z5g4whmAjLikIb2Ge.jpg altAuv2h-yBpgX3WOpWhIcX1ssDm6eg4r_VI1sEwuKQpjxG.jpg
 
Dah!..mkuu iyo pesa ni nyingi ila inatakiwa 400 mwisho,yani iyo kitu ipo vizuri inapiga kazi hatari kwenye internet inatumia 4G-network ambayo ni nzuri zaidi ukitumia chip ya airtel,camera yake inatoa clear images kama inavyojulikana LUMIA ni best camera-smartphone ikifuatiwa na Sony,na mda sio mrefu Microsoft wataroll out Windows phone 10 hivyo inafaa kuaupgrade from windows 8.1 to 10.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom