Nokia Lumia 920 and Lumia 820 has been released!

Nokia Lumia 920 and Lumia 820 has been released!

Michael Amon

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2008
Posts
8,769
Reaction score
3,644
Nokia_Lumia_920_820.jpg


Nokia announced its first Windows Phone 8 devices on Wednesday at a press event in New York. Part of company's Lumia series, the new devices are Lumia 920 and Lumia 820.
Nokia Lumia 920 is the new company flagship smartphone and comes with some great features; however Lumia 820 is a mid-range device but the smartphone features aren't that different from 920.

The following are the quick specs comparison to give you an idea of how both smartphones are different from each other.

nokia-lumia-specs.png


[video=youtube_share;XZ0GqEWB-uE]http://youtu.be/XZ0GqEWB-uE[/video]


[video=youtube_share;ZEVJtP67egk]http://youtu.be/ZEVJtP67egk[/video]


 
feature ya wireless charging nimeipenda sana....
japo kuweka 8mp wakati wengine wanafikiria kuongeza kutoka 8mp kwenda mbele
mbaya zaidi tayari pure view ina 41mp....i wish wangeweka 41mp kwenye hizi cm
 
feature ya wireless charging nimeipenda sana....
japo kuweka 8mp wakati wengine wanafikiria kuongeza kutoka 8mp kwenda mbele
mbaya zaidi tayari pure view ina 41mp....i wish wangeweka 41mp kwenye hizi cm

Ingeuzwa milion 2 kaka maana nokia 701 na 808 karibia zifanane ila 701 ni dola 270 na 808 ni dola 600 hio 330 gape ni kwa ajili ya camera.
 
Ingeuzwa milion 2 kaka maana nokia 701 na 808 karibia zifanane ila 701 ni dola 270 na 808 ni dola 600 hio 330 gape ni kwa ajili ya camera.

Milioni 2? Mie ni mpenzi sana wa android lakini this time ngoja nijaribu kutumia windows phone, ila ngoja kwanza watu waigombanie ikishashuka bei ndio ntaichukua.
 
Nokia anakuja tena, swali je, ataweza rudisha ile misifa + bei nafuu?
 
Je ni kweli inauzwa kwa bei ya punguzo na Vodacom Tanzania?
 
haya bei hio hapo 758usd au 600 euro au 476 gb pounds. Nchi ya kwanza kuipata itakua germany. Then simu itaanza kuuzwa mid october.

Wili mbili badae ndugu yake lumia 820 atafata kwa bei za 450 euro 568 usd na pound 357.

Ikitoka ujerumani late october watasambaza nchi karibia zote za ulaya

Nokia wameeka bei hio sababu sg3 inauzwa Usd 800. According na hio source itatoka lumia isio na 4g wala lte ambayo bei itashuka kidogo.

Source hapa
http://wmpoweruser.com/european-nokia-lumia-920-priced-and-dated
 
haya bei hio hapo 758usd au 600 euro au 476 gb pounds. Nchi ya kwanza kuipata itakua germany. Then simu itaanza kuuzwa mid october.

Wili mbili badae ndugu yake lumia 820 atafata kwa bei za 450 euro 568 usd na pound 357.

Ikitoka ujerumani late october watasambaza nchi karibia zote za ulaya

Nokia wameeka bei hio sababu sg3 inauzwa Usd 800. According na hio source itatoka lumia isio na 4g wala lte ambayo bei itashuka kidogo.

Source hapa
European Nokia Lumia 920 priced and dated | WMPoweruser

758us$ nikama 1.2Mil ya bongo,mpaka nikusanye mishahara 6 ndo m
ninunue hiyo kitu Daaa!!
 
feature ya wireless charging nimeipenda sana....
japo kuweka 8mp wakati wengine wanafikiria kuongeza kutoka 8mp kwenda mbele
mbaya zaidi tayari pure view ina 41mp....i wish wangeweka 41mp kwenye hizi cm

Yaan ipo hv! Hzo 8 mp ni za technologia ya pureview so uki compare 8mp ya nokia na 12 mp ya galaxy bado nokia yupo juu
 
758us$ nikama 1.2Mil ya bongo,mpaka nikusanye mishahara 6 ndo m
ninunue hiyo kitu Daaa!!

Ujue huyu elop anaiua nokia why utengeneze simu kwa ajili ya wamarekani? Au kisa yeye ni mwajiriwa wa zamani wa microsoft?

Juzi kulikua na matokeo ya nchi na simu wanazomiliki mfano kama brazili asilimia 70% wanamiliki symbian ikifuatwa na android 20%

Nchi kama china wamezindua juzi tu na washauza zaidi ya milion 2 za wp. Huko finland ndo usiseme kila mtu nokia sasa sjui ukichaa gan unawatuma na masimu ambayo ni expensive kutengeneza then unawafaidisha wateja laki 6 unaacha milion 50
 
Yaan ipo hv! Hzo 8 mp ni za technologia ya pureview so uki compare 8mp ya nokia na 12 mp ya galaxy bado nokia yupo juu

Hiyo mingine ni misamiati tu mkuu....hakuna kitu hapo...
subiri kazi ya apple wakitangaza iphone 5,mtasahau kabisa haya ya nokia....
Na ngoja samsung atangaze smu zake mpya zinazorun windows 8...nokia ndio tutaizika rasmi.
 
Ujue huyu elop anaiua nokia why utengeneze simu kwa ajili ya wamarekani? Au kisa yeye ni mwajiriwa wa zamani wa microsoft?

Juzi kulikua na matokeo ya nchi na simu wanazomiliki mfano kama brazili asilimia 70% wanamiliki symbian ikifuatwa na android 20%

Nchi kama china wamezindua juzi tu na washauza zaidi ya milion 2 za wp. Huko finland ndo usiseme kila mtu nokia sasa sjui ukichaa gan unawatuma na masimu ambayo ni expensive kutengeneza then unawafaidisha wateja laki 6 unaacha milion 50

hv sjui kwanini sis wa afrca huwa hawatufikilii kwenye market
 
Ujue huyu elop anaiua nokia why utengeneze simu kwa ajili ya wamarekani? Au kisa yeye ni mwajiriwa wa zamani wa microsoft?

Juzi kulikua na matokeo ya nchi na simu wanazomiliki mfano kama brazili asilimia 70% wanamiliki symbian ikifuatwa na android 20%

Nchi kama china wamezindua juzi tu na washauza zaidi ya milion 2 za wp. Huko finland ndo usiseme kila mtu nokia sasa sjui ukichaa gan unawatuma na masimu ambayo ni expensive kutengeneza then unawafaidisha wateja laki 6 unaacha milion 50

nakunbua kipindicha s60 wahindi ndio walio kua wakitazamwa sana na Nokia mpaka nokia hawakuwahi toa simu yenye namba 4 kwenye model No.
mfano kuna
Nokia N91,N92,N93,N95,N96,N97 hakuna N94 kwasababu Number 4 kwa wahindi ni unlucky Number, lakini sasa ana komaa na wamarekani na wadhungu wa urope na kukusahau wateja wake wa zamani.
Kama Nokia wakielekeza nguvu nchi za China, Brazil na India watapata mafanikio makubwa kuliko huko wanakoenda. sisi waaffrika ndo tusubiri mpaka Lumia nzingine zitoke ndo tununue hiyo 920 ikishukabei, nokia wajipange vizuri waje na low WP8 devices kwa waafrika
Nashauri waje na lumia yenye
screen 3.2", 3.5" au 3.7"
processor 1GHz
RAM 512
storage 4GB
Camera 5MP
Card slot
watoe haya mavitu waafrika hayatusaidii
NFC,4G na LTE,BLUETOOTH 4(2.1 kwetu inatosha) WIRELESS CHARGING,VIDEO ZA 1080p(720p inatutosha), PUREVIEW, GLONASS (A GPS inatutosa),HTML5(HTML inatosha),HD+(Nokia clear black inatosha) na HSDPA 42Mbps (7.2Mbps inatosha kwanza mitandal yetu hawajui kama kuna 42Mbps)

hapo watatushika waafrika
 
Back
Top Bottom