Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Salaam!! Ninataka kununua simu aina ya Nokia E5!! Huwa inakwenda kwa bei gani?? Nipo Tunduru jamani na sina access ya maduka ya simu. Kuna mtu nataka nimuagiza dar
mwanza ni sh 65000 cjui sehemu zingine.
mwanza sehemu gani wanauza bei hyo?ni pm nami naitaka