- Thread starter
- #21
naamini hayupo mm jf nipo na yeye anajua sana na huku jf hakuna upuuzi kama wa fbMkuu umejuaje kama hayuko facebook? Je yeye anajua kama wewe uko JF?
Stuka!!!!!
naamini hayupo mm jf nipo na yeye anajua sana na huku jf hakuna upuuzi kama wa fbMkuu umejuaje kama hayuko facebook? Je yeye anajua kama wewe uko JF?
Stuka!!!!!
Mkuu malizia uhondo basi. Ukishadownload what next? Nna kanyumba kangu kadogo kanatumia hiyo simu nataka nikatafutie sababu.
Mbona we yako umeniwekea security code?Saa nyingine mwanaume kuwa kama mwanaume ndani kwako....
Tena rudi ule muda wake wa kuchat.......
Mpokonye simu,we si ndo baba na kichwa cha familia?????
Kaana nayo hadi uridhike
Ukimuomba simu kilege lege kwa udhaifu atadelete ndo akupe....
ndugu ni hivi kuna mawili either ni yuko busy whatsapp or na texts zingine chamsingi fatilia namba ya simu anayowasiliana nayo halafu ukishajua iscreen hiyo namba msg ztakua znaingia sema hazioni na calls pia hatozi sikia so baada ya simu kadhaa chukua simu hiyo..cheki messages hizo uone..jamaa anachokituma..Habari wana jamvi mm nna mke wangu ila huwa yuko bize sana na cm upande wa taxt mda mwingine nahisi kuwa kuna mtu ambaye labda ni mtu wake maana nikitaka kuchukuwa cm yake huwa anaedit kwanza ndo anipe sasa wakuu najua humu kuna watalam wa cm aina ya nokia c3 nataka sms zote zinazo ingia zile zinajiseve mara mbili na hiyo sehemu niijue mm tu hata akifuta inbox basi nizikute kule maana hali ishakuwa mbaya kiafya magonjwa ni mengi na vile vile kubambikiwa mitoto sio yako maana midume mingine ikinogewa inazalisha kabisa kwahiyo nadhani hii nikigungundua inaweza saindia kumwonya au kugundua kidume kinachonipa kampany
Utamu wa small hausi ushakukinahi? Au gharama zimezidi mapato?
Una moyo?
mkuu kinapunguzwa utamu lakini!!Acha wivu wewe utakuja ua mtoto wa watu bure na kitu chenyewe hakiachiwi hata kovu
Utamnasa tuu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
ndugu ni hivi kuna mawili either ni yuko busy whatsapp or na texts zingine chamsingi fatilia namba ya simu anayowasiliana nayo halafu ukishajua iscreen hiyo namba msg ztakua znaingia sema hazioni na calls pia hatozi sikia so baada ya simu kadhaa chukua simu hiyo..cheki messages hizo uone..jamaa anachokituma..
Mmmh kazi kweli kweli labda nianze kwa kukuuuliza swali je wewe ni mwaminifu kwenye ndoa yako. Kama kweli wewe huna mipango ya kando basi nakushauri umuulize na umwambie wasiwasi wako juu ya hizo chatting zake. Ufanyapo hivyo na wewe umkabidhi simu yako aichunguze. Kama unaona hautakua radhi cm yako kuchunguzwa basi mwache endelea na maisha kama kawaida kwani muosha huoshwa.
moyo upi tena miss we nipe njia maana nitakuja tena humu kuomba ushauri wa kuacha
Saa nyingine mwanaume kuwa kama mwanaume ndani kwako....
Tena rudi ule muda wake wa kuchat.......
Mpokonye simu,we si ndo baba na kichwa cha familia?????
Kaana nayo hadi uridhike
Ukimuomba simu kilege lege kwa udhaifu atadelete ndo akupe....
Hyo njia unayotaka kuichukua sion kama inafaa kaka.
Labda kama unataka uthibitisho ili uvunje ndoa pale utakapobaini
ni vema ukajaribu kuokoa familia yako kwa kuonya ila sidhan kama kuna mtu anaweza kubali mtu mwingine usie mfahamu akuharibie famila yako