nokia ampeleka htc mahakamani kwa makosa 32

nokia ampeleka htc mahakamani kwa makosa 32

Chief-Mkwawa

Platinum Member
Joined
May 25, 2011
Posts
32,074
Reaction score
43,540
kama unaongelea kampuni ambayo haifatilii patent zake ni nokia, nokia wamekua wapole watu wanacopy vitu vyao ila wananyamaza kimya. Nokia anaown patent zaidi ya 10,000

Wa kwanza alikua apple kushtakiwa na nokia na mpaka leo idevice yoyote inayouzwa apple anamlipa nokia $7 (kila iphone, ipad, ipod)

sasa leo naona na htc kimemkuta maana ni muda mrefu anamcopy nokia lakini nokia ananyamaza ila siku za karibuni htc amekosa adabu zaidi kwa kuwakashifu nokia na kuweka matangazo ya htc na sarafu kuonyesha uzito wa lumia 920.

Kampuni kama nokia iliyospend zaid ya dola bilion 60 (zaidi ya trilion 100 za kitanzania) kwenye research na kugundua karibia 90% ya vitu vya kwenye simu unaposhindana nayo unategemea nini?

Wachambuzi wanasema nokia ana 99% ya kushinda hizo kesi na ukijumlisha juzi juzi htc kaingia mkataba na apple wa kumlipa patent dola 6 hadi 7 kwa kila device.

kama unataka kuzijua hizo kesi ingia hapa

http://www.fosspatents.com/2012/11/htcs-biggest-patent-worry-after-apple.html

Hebu ona hizi simu unaweza tofautisha?
35471750-8.jpg
 
Sorry, the page you were looking for
in this blog does not exist. Isijekuwa labda unapromote hiyo site
 
Kwa mbali huwezi kujua Nokia Lumia 920 ni hipi.
 
Jamaa hawaoni hata aibu, na watu hata hawastuki kuwa jungu kuu (Nokia) halikosi ukoko, mi huwa siichoki kwa kweli.
 
hee kwai htc nae anatumia windows phone mobile?

Actually ni nokia ndio mgeni kwenye windows phone na ameanza na windows phone 7.5 htc yeye wa kale kaanza enzi hizooo kabla hajaja android zipo zinazotumia hadi wp6 kama ushayaona htc touch pro.

Sema upuuz wake utamfilisi maana kila sehemu anaishi kwenye shadow ya kampuni kubwa

Huku wp ana nokia na android ana samsung
 
Chif tofaut ipo

Hio sio ishu ya fumbo la gazetini kutafuta tofauti. Ishu ni zinafanana au hazifanani?

Maana kudesign kama hivo ni mabilion ya hela then mwenzako anachukua kiulainiiiii
 
Hio sio ishu ya fumbo la gazetini kutafuta tofauti. Ishu ni zinafanana au hazifanani?

Maana kudesign kama hivo ni mabilion ya hela then mwenzako anachukua kiulainiiiii

haina tofauti na mchina aliyetengeneza simu inafanana na blackbery bold halafu akaiandika blackbory halafu hapo kwenye ''o'' akaweka horizontal line ambapo mtu akisoma kwa haraka anaona kama imeandikwa blakbery
 
mie mapenzi yako htc, since nianze kuitumia kwa kweli haijaniangusha, nokia ni ancient, historical phones, mi hata nani anishawishi nokia
 
Back
Top Bottom