Nenda kanunue oil na filter mwenye kwenye duka la kuaminikaa eneo ulipo.
Fundi mpelekee na usimamie kuhakikisha anatumia oil uliyompatia.Usikubali kununua oil unayoikuta kwa fundi,huwa wanabakia na vibobo hivyo kukuwekea oil ya sae 40 ambayo ni zito na bei rahisi.