No reform No Election mitandaoni

No reform No Election mitandaoni

888I

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
445
Reaction score
553
Nimejaribu kupitia comments katika mtandao wa Instagram nimeona kwenye kila post za watu maarufu na vyombo vya habari mbalimbali huwezi kukosa comment ya #NoReformNoElection najiuliza kwanini ? šŸ¤”

Ni kweli wananchi wameelewa Hiyo kampeni ?

Ni kweli watu hawatashuiriki Uchaguzi Mkuu?

Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC wataendelea kuandaa Uchaguzi ama watajaribu kutazama idadi ya watakaoshiriki Michakato ya Uchaguzi?

Bado najiuliza ... Na wewe jaribu kupitia post za huko Instagram na soma comments ikiwa post inahusu masuala ya kisiasa ama uongozi /Utawala comments zitajadili ikiwa hakihusu basi kutakuwa na comments nyingi za No reform No Election
 
Mfano hii post ya Mwiguli..
Screenshot_20250606-194227.png


Kwa bahati mbaya au nzuri, uyo Balozi si anaitwa Tone eti raia wanasema Tone Tone

Screenshot_20250606-194155~2.png
 
Nimejaribu kupitia comments katika mtandao wa Instagram nimeona kwenye kila post za watu maarufu na vyombo vya habari mbalimbali huwezi kukosa comment ya #NoReformNoElection najiuliza kwanini ? šŸ¤”

Ni kweli wananchi wameelewa Hiyo kampeni ?

Ni kweli watu hawatashuiriki Uchaguzi Mkuu?

Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC wataendelea kuandaa Uchaguzi ama watajaribu kutazama idadi ya watakaoshiriki Michakato ya Uchaguzi?

Bado najiuliza ... Na wewe jaribu kupitia post za huko Instagram na soma comments ikiwa post inahusu masuala ya kisiasa ama uongozi /Utawala comments zitajadili ikiwa hakihusu basi kutakuwa na comments nyingi za No reform No Election
Gentleman,
kwamba heche mropokaji wa chadema anaweza kumzuia kigaila wa CHAUMA asipige kura, right?šŸ’
 
Gentleman,
kwamba heche mropokaji wa chadema anaweza kumzuia kigaila wa CHAUMA asipige kura, right?šŸ’
Nikiona mtu anaita wengine mropokaji mara nyani 🚮
 
no reform no elections ni agenda nonsense ya kilofa sana gentleman šŸ’
Sawa tajiri lakini ungesoma andiko ukaeleza maoni bila hayo maneno ila šŸ¤™šŸ¤™
 
Mr msigwa hadi kafunga comments section.
Moto unaopelekwa sio poa..
Hata Rais anaweza funga comments pia kwa Hali hii
 
We umeuliza kwanini kama nani? Wanaopaza sauti usiwaulize kwanini wanapaza sauti maana unakua hueleweki
 
Hii slogan ya Chadema ,mpka CCM wanaisema duu
 
Back
Top Bottom