PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,059
- 1,133
Wewe siyo bureNo Reform No Election yapoteza mwelekeo Rukwa
Licha ya idadi ndogo ya wananchi wanaohudhiria katika mikutano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kihoja kingine ni kwamba baada ya viongozi kuona idadi ya wanaohudhuria ni watoto wadogo wamelazimika kuwaimbisha nyimbo za watoto.
Hilo limetokea leo mkoani Rukwa, Jimbo la Nkasi Kaskazini, wakati viongozi wa Chadema akiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, walipofika kwa mkutano wa kampeni ya 'No Reform No Election'
Wamesema hawatashiriki uchaguzi ndiomaana wachache wamejitokeza kwenda kuwasikilizaNo Reform No Election yapoteza mwelekeo Rukwa
Licha ya idadi ndogo ya wananchi wanaohudhiria katika mikutano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kihoja kingine ni kwamba baada ya viongozi kuona idadi ya wanaohudhuria ni watoto wadogo wamelazimika kuwaimbisha nyimbo za watoto.
Hilo limetokea leo mkoani Rukwa, Jimbo la Nkasi Kaskazini, wakati viongozi wa Chadema akiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, walipofika kwa mkutano wa kampeni ya 'No Reform No Election'
Mnafuatilia kwakaribu siunajua kadri mnavyoikatikia ndio inawaingia zaidi endeleeni kujitikisa mtakuja kustuka imeshawainga mazimaNo Reform No Election yapoteza mwelekeo Rukwa
Licha ya idadi ndogo ya wananchi wanaohudhiria katika mikutano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kihoja kingine ni kwamba baada ya viongozi kuona idadi ya wanaohudhuria ni watoto wadogo wamelazimika kuwaimbisha nyimbo za watoto.
Hilo limetokea leo mkoani Rukwa, Jimbo la Nkasi Kaskazini, wakati viongozi wa Chadema akiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, walipofika kwa mkutano wa kampeni ya 'No Reform No Election'
Pic ha hazipostiwi hivyoNo Reform No Election yapoteza mwelekeo Rukwa
Licha ya idadi ndogo ya wananchi wanaohudhiria katika mikutano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kihoja kingine ni kwamba baada ya viongozi kuona idadi ya wanaohudhuria ni watoto wadogo wamelazimika kuwaimbisha nyimbo za watoto.
Hilo limetokea leo mkoani Rukwa, Jimbo la Nkasi Kaskazini, wakati viongozi wa Chadema akiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, walipofika kwa mkutano wa kampeni ya 'No Reform No Election'
Jitahidi umtumie na Makala hizo picha, viti maalumu utalamba 🙂No Reform No Election yapoteza mwelekeo Rukwa
Licha ya idadi ndogo ya wananchi wanaohudhiria katika mikutano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kihoja kingine ni kwamba baada ya viongozi kuona idadi ya wanaohudhuria ni watoto wadogo wamelazimika kuwaimbisha nyimbo za watoto.
Hilo limetokea leo mkoani Rukwa, Jimbo la Nkasi Kaskazini, wakati viongozi wa Chadema akiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, walipofika kwa mkutano wa kampeni ya 'No Reform No Election'
Badala ya manyumbu kujibu hoja, wanamshambulia mleta mada.
kwani wameshindwa kuleta picha mbadala?
Hakika CHADEMA haiko teyari kuitawala nchi hii, manake kila uchwao wananchi watakapo kuja kuhoji chochote, watatukanwa na kudhalilishwa ka mnavyoona hapa. Na hao juu yawezekana kabisa ni waandamizi wa chama cha CHADEMA.
Kweli manyumbu na machawa wa CHADEMA hawana dhamira.
Imekuwa kama hivi, Aibu yako hii na waliokutumaNo Reform No Election yapoteza mwelekeo Rukwa
Licha ya idadi ndogo ya wananchi wanaohudhiria katika mikutano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kihoja kingine ni kwamba baada ya viongozi kuona idadi ya wanaohudhuria ni watoto wadogo wamelazimika kuwaimbisha nyimbo za watoto.
Hilo limetokea leo mkoani Rukwa, Jimbo la Nkasi Kaskazini, wakati viongozi wa Chadema akiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, walipofika kwa mkutano wa kampeni ya 'No Reform No Election'
Wamesema hawatashiriki uchaguzi ndiomaana wachache wamejitokeza kwenda kuwasikiliza
Uongo mwingine wa kitoto sanaNo Reform No Election yapoteza mwelekeo Rukwa
Licha ya idadi ndogo ya wananchi wanaohudhiria katika mikutano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kihoja kingine ni kwamba baada ya viongozi kuona idadi ya wanaohudhuria ni watoto wadogo wamelazimika kuwaimbisha nyimbo za watoto.
Hilo limetokea leo mkoani Rukwa, Jimbo la Nkasi Kaskazini, wakati viongozi wa Chadema akiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, walipofika kwa mkutano wa kampeni ya 'No Reform No Election'