CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
Mheshimiwa Dr. JK, naomba kutofautiana na wewe! Meles Zenawi was one of the dictators Africa continent has ever had!
Ndilo tatizo la viongozi wa Africa kulinda tawala dhalimu highly violating basic principles of human rights. Ni kama Amin alivyowahi kuwa Mwenyekiti wa OAU (AU now), what a shame was!!!.
Wanaomlilia ni wale walionufaika na udikteta wake.
Ndilo tatizo la viongozi wa Africa kulinda tawala dhalimu highly violating basic principles of human rights. Ni kama Amin alivyowahi kuwa Mwenyekiti wa OAU (AU now), what a shame was!!!.
Wanaomlilia ni wale walionufaika na udikteta wake.