Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Mkuu umerudi kijijini kwako ? je sisi watu tuliozaliwa mjini Dares-Salaam tutarudi wapi ?wakati mjini hakuna umeme?Mi nilirudi mlali pale mwanzo mwanzo tu...
mimi nimezaliwa Muembe chai je kuna kijiji hapo Muembe chai?Hata dar kuna vijiji
na bado litakuwa joto la kiamaahh jotooooo...
Maombi kwa Serikali wawaonee huruma walala hoi wapate japo Umeme na Maji safi.... uuuwwiiiiiiiiNi Maombi au?