Naunga mkono...maana vijana wanakesha kucheza kamali(betting).
Baada ya kuliwa wana nunua Kvant wana changanya na Energy drink.
Baada ya hapo wanaenda kutafuta malaya wa buku 5 Wale wanao jiuza.
Kesho yake ana simulia mechi ya Simba na Yanga.
HALOOH TUNAHITAJI MKOMBOZI AMA TURUDI UTUMWANI LA SIVYO KIZAZI KINA TEKETEA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.